
"Usilie zubeda sikutegemea pia ni shetani tu" yalikuwa ni maneno ya Babu G, kijana alie jitolea kunisaidia kumbe hakua mwema.
Ilikuwa ni mwezi wa pili kipindi ambacho nilikuwa ndio nimejiunga mwaka wa kwanza katika chuo cha (H.Z)nyumbani kabisa ni Bukoba na ilikuwa mara yangu ya kwanza kuja huku jijini Dar es salaam, kwasababu ndio nilikuwa nimeanza maisha ya uhuru tofauti na nilivyokuwa nabanwa na wazazi secondary sikuwa mzoefu kupanga sehemu ya makazi hivyo ikanibidi nikae hapohapo hostel za chuo.
Kuna sikumoja wenzangu hostel walikuwa wanaperuzi katika mtandao wa kijamii yaani instagram wakaona tangazo la christiani bella anatumbuiza sehemu inaitwa kigamboni, "ehhh jamani uhuru ndio huu sahivi sisi watu wazima tunakosaje kumuona msanii mkubwa kama huyu, shoga yangu nianzime kimini chako kile cha blue tutajifunga vitenge wasituchole tukifika eneo la tukio tutavua hakuna wa kutuchora" Mwanzoni niliguna nikaogopa kweli maana wazazi walinisihi nisiendekeze starehe nije tu kusoma mambo mengine yatakuja tu.
"Zubeda acha ushamba unakataa kwenda kwanini sasa, hivi unahisi usipotumia hii nafasi utaipata lini maisha yenyewe Mafupi" nilishawishika ndipo nikaamua kujiandaa ila kabla ya hapo nikafanya maombi yangu ya chinichini, mara ghafla, "mhhhhh ehhhhh, unavaa gauni ebu vua acha ushamba" ndipo marafiki zangu wakanipa kinguo kinaonesha paja lote tukajipanga na kuanza safari, kipindi hicho sijawai hata sikumoja kulala na mwanaume na nilikuwa nimeisha weka maamuzi ya kulala na mwanaume atakae nioa kabisa.
Wakati tupo njiani tunaenda wenzangu wakachukua bia wakaanza kunywea njiani mimi nikakataa katakata wakanicheka sana, tulifika CLUB wakiwa wameanza kulewa wamechangamka kweli, tulipoingia tu ndani wanaume wakaanza kutuita wengine wanakuja kutubambia sasa wale wenzangu walikuwa wamezoea hivyo wakawa wanakubali na wananyonyana mpaka mate na hao wakaka na wengine wakubwa kuwazidi kabisa yaani umri kama wawazazi wetu.
Waliendelea kununuliwa bia mimi nikiwa nimewatazama tu nilikosa kabisa raha mule ndani ilipofika saa tisa nikaanza kupata usingizi, sasa wakati nimepitiwa nimelala wale wakaka wakawabeba wenzangu maana tayari walikuwa wameisha lewa bila kujitambua
IMEENDELEAKipindi nashtuka nikakuta wenzangu hawapo na pesa tulichanga kwa pamoja wakashikiria wao, nilipotoka nje kuwaangalia sikuwaona kumbe walikuwa ndani ya magari ya wale wakaka wanafanywa mulemule bila kujitambua kwa sababu ya kuleweshwa sana na hizi tabia wao waliona ni kawaida tu.
Kwasababu sikugundua mwanzo ikabidi niombe msaada kusudi niwai kufika chuo maana nilikuwa nimevaa nguo fupi hivyo asubuhi kila mtu angeniona.
Wadada watano wote walikataa, "mwanamke unakosaje hela, tazama kwenye kile kichaka mwenzako kainamishwa apate hela jishobokeshe kwa wanaume ufanywe upate nauli, office unayo hapohapo katikati" hama kweli sikuamini, kaka mmoja akasikia navyo teseka ndipo akasema, "unaenda wapi" "Kaka mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza nimekuja na wenzangu wamenikimbia sina hata nauli walikuwa nayo wao" niliongea nalia.
"Sawa mdogo wangu ingia kwenye gari nikusogeze"
Njia nilikuwa sijaikalili vizuri nikashangaa napelekwa mpaka kwake na palikuwa ni mbali na nyumba zipo mbalimbali kibaya zaidi kunamiti mingi nje na mda umeenda akasema, "sahivi ni usiku sana kesho nitakupeleka na kuhusu nguo nitakununulia asubuhi baibui"
Wakati tumelala maana tulilala wote chumba kimoja, nikashangaa amevua nguo zote na kujifunika shuka, mimi nikawa na wasiwasi, "unaogopa nini Zubeda kaa na mimi nitakusaidia hata pesa za matumizi kubali kunipa penzi" niligoma nikakataa kabisa akasema "kama hutaki toka kwangu ukabakwe na watu huko njiani" nilimbembeleza lakini akakataa ndipo akasema "sitaki kukuumiza vua mwenyewe"
Nilishindwa nifanye nini, nikiwa nalia nikakumbuka maneno ya wazazi wangu nilivua mwenyewe, akaanza kunipapasa akininyonya mwili wangu pia ukaanza kulegea nikajikuta naanza kama kumuachia, yule kaka alitumia nguvu sana mpaka akanichana uke wangu maana nilikuwa bado BIKRA, nilisikitika lakini nikajutia mwenyewe wakati tunaondoka asubuhi akaniachia elfu 50 lakini nikasahau kuchukua namba yake ya simu, baada wiki chache nikaanza kuhisi mabadiliko ndani ya mwili kumbe alinipa ujauzito na mpaka sasa kwake sipakumbuki na sina mawasiliano naye, mda wote nalia.
SIO MWISHO TUTAENDELEA
je ungemshauri nn huyu dada?
atoe mimba, ajiue, ajikaze, aseme kwao, we ungefanya nn."Maliza chuo na degree yako, usimalize na ukimwi" lilikuwa ni tangazo ambalo lilibandikwa hapo chuo nilipolisoma nikiwa naelekea darasani likanifanya niwe na wasiwasi zaidi nikahisi kwamba uhenda yule kaka alikuwa na virusi na ameniambukiza pia maana hata alipokuwa ananilazimisha kufanya mapenzi hakuwaza swala zima la kutumia condom.
Nilikuwa nakosa raha darasani nawaza sana kuhusu BIKRA yangu kutolewa na mwanaume ambae sijampenda, kibaya zaidi ule ujauzito ndio ulikuwa unaninyima raha.
Kunakaka wa mwaka wa 3 alikuwa ananitongoza na walikuwa na tabia mbaya kwamba kila mwaka wa kwanza wanapoingia chuo basi wanajua bado hawajanjaruka kimapenzi na wadada hatujajua thamani yetu
hivyo wanawatongoza na kutubadilisha kama nguo, nilitamani nimkubalie yule mkaka ili nimsingizie ule ujauzito maana nilijua bado ni mapema na anakaribia kumaliza chuo hivyo atanisaidia katika swala zima la kumlea mtoto kipindi najifikiria, nikaanza kuhisi kutapika nikiwa darasani kichefuchefu kama chote nilibana mdomo Mwalimu akiwa anafundisha nikatoka nakimbia kwenda chooni bila kumuaga Mwalimu baada ya kumaliza sikutaka tena kwenda kuendelea na kipindi hivyo nikaenda moja kwa moja mpaka hostel.
Sasa wakati nipo ndani nikiwa nakumbuka maneno ya baba, "binti yangu, wewe ndio mtoto wangu wa kwanza wadogo zako wanakutegemea, chuo utakuwa huru, kuwa makini Zubeda naomba usijiunge na makundi mabaya, usifate mkumbo huko"
ile kumbukumbu ikaanza kuniliza kipindi bado natoa machozi, "umekuaje Zubeda, mbona hivi au unaumwa maana umetoka darasani mpaka mwalimu akasema kwamba wewe utakuwa mjamzito wanafunzi wote wakacheka", "mwalimu amesema hivyo"
"ehhhh ndio, kwani kweli"
"Emilia rafiki yangu kwanini siku hile mlinishawishi kwenda Club, nilibakwa Emilia"
"Ulibakwa nanani" "Simjui kabisa huyo mkaka alisema anaitwa Babu G"
"Kwahiyo unaujauzito wake"
"Ndio ninao afu sipakumbuki kwake na hata namba yake ya simu sina, kibaya zaidi baba akijua ninamimba hata nyumbani sitakanyaga na kutoa mimba naogopa, natamani kumsingizia mimba yule mkaka wa mwaka wa tatu unanishauri vipi"
Nilimwambia Emilia na nikamsihi asimwambie mtu yoyote ingawa hakunishauri cha kufanya.
Baada ya wiki nne.....
Mitihani ya test ya kwanza ikaanza, kiukweli niliumia mnomno sikuwa nimesoma sababu ya msongo wa mawazo na mitihani ilikuwa ya kawaida tu kwa mtu aliejisomea ila majibu nilikuwa sina kichwani sababu sikujisomea hata kidogo ila kunarafiki yangu akanishauri ujinga kwamba nikiongea vizuri na mwalimu tutasaidiana.
Siku moja nikiwa sina kitu mfukoni yaani sikuwa na hela kabisa nikawambia wenzangu wanikopeshe tunao lala nao Room (chumba) kimoja, "hivi wewe Zubeda umefikajefikaje chuo, mbona wewe sio mjanja yaani mzitoo tehteh"
"Candy jamani yaani mimi kuomba mnikopeshe hela kidogo jioni nawapa nimekuwa mjinga nimempigia baba lakini hapokei sina hata mia rafiki yangu nikopesheni"
Candy alikuwa muongeaji sana, "hivi wewe Emilia huyu rafiki yako mbona mshamba yaani na matiti yako makubwa hivyo unamtegemea baba, hivi baba ako anaweza kukupa hela ikakutosha kweli, ebu angalia nywere zangu unazani nimepewa hela na wazazi kusuka nywere za ghalama hivi"
Alisema candy nikamjibu kuwa mimi naogopa.
"Lakini Zubeda candy anakwambia ukweli" akachochea Emilia. "Ukiangalia sahivi Emilia kasema una ujauzito na tulipo toka out yule bwana alikupa elfu 50 hivi ungekuwa mjanja ukachukua namba yake siungekuwa unapata pesa japo hiyo elfu 50 kwa wiki siungekuwa unakunywa Supu, kuku, vyakula vizuri canteen ona leo huna kitu namba ya mwenye mtoto huna na wala umjui kweli we ni zubeda"
Nilichukia sana candy kujua kama nina ujauzito na nilimuamini Emilia nikamuomba wazi kabisa kwamba asitoboe siri.
"Emilia kwanini umetoa siri yangu"
"Ehh asitoe siri kwani yeye mbwa"
"Hayakuhusu candy"
"Kama wewe unajua kutunza siri, kwanini uliwashwa kumwambia Emiria, acha ujinga, mimi naenda darasani kumbukeni leo ni ijumaa weekend inaanza jiandaeni tutoke na tuwe tumependeza niwapeleke kiwanja cha wenye pesa nauli ya Tax juu yangu pale ukitoa penzi zuri ukajishugulisha kitandani unatoka na pesa za kimarekani na Zubeda usisahau kuvaa kikuku nilicho kupa siunajua kinavyo wapagawisha wanaume sanasana wa kizungu leo lazima upate hela, na itakusaidia ili uanze kutunza pesa kwaajili ya mtoto wako ukizubaa hata pesa ya nepi utaisikilizia" "Je unashauri zubeda aende au, ataishi vipi na mimba bila pesa?"Nilifikiria mara mbilimbili "hivi kweli niende kwenye starehe na tayari nilishapata majanga siku ya kwanza nilipo enda", moyo ukagoma nikasema siendi kimoyomoyo, tukaenda kwanza darasani maana ilikuwa bado haijafika jioni, siku hiyo tulikuwa na lecture (vipindi) viwili ambavyo vyote vilikuwa vya masaa manne kwa ujumla baada ya hapo tukaingia Tutorial (mafundisho ya ziada) vipindi viwili, wakati huo wote bado sijala wenzangu wakala ili wanikomoe, nikamfata (Cr) kiongozi wa darasa anikopeshe maana nilikuwa na namba yake na mda mwingine nilikuwa nachati nae na hata nikiwa na shida ya notisi ananitumia pia, "Zubeda wewe ni mdada mstaharabu kweli na unapendwa na kila mtu nisinge weza kukunyima hela lakini nimebaki na kiasi kidogo cha kurudi nyumbani kama nauli".
"Sawa Cr amna shida"
Njaa ilipozidi nikawambia wenzangu na mimi naenda huko mnapoenda maana ninanjaa kweli baba hajibu meseji zangu na salio sina sababu nimepigia watu wanisaidie pesa ya matumizi wote wamesema siku nyingine mpaka Salio limekata, nisaidieni Salio. "Ehhh mara unaenda mara Salio, Emilia tumuache huyu" "Msiniache basi"
Niliwambia hivyo nikijua kabisa nikifika huko nitakula vya wanaume na nitaomba mtu pesa nimpe ahadi ya uongo kisha nimbloki kwenye simu.
Tulivaa mavazi ya mtoko, mpaka eneo la tukio ile tunafika tu kwa nje nilimtukana mtu pale mpaka kidogo iwe baraha yani ile nafika nikasikia, "dadaaaa umedamshi kinomanoma yani" aliongea hayo maneno huku ananibinya tako la kulia, "ehh wewe kaka nikome mi sio malaya ehhh nikome kama ulivyo koma titi la mama ako" wakacheka "hahahaha ehh huyu demu wawapi mbona mshamba kichizi, wewe wakuja ehh usinge vaa hicho kinguo kilaini na kifupi hivyo yaani unakikuku afu unajikuta mlokole" "Candy jamani mbona kama hizi ni shida"
"Acha ujinga Zubeda inatakiwa unywe pombe utawazoea hao"
"Pombe sinimbaya na nasikia ni Chungu, mama baba kwetu wote hawatumii" "Wewe kunywa leo uone utakavyo piga hela acha ujinga, utaniaibisha hapa sio hostel, rembua rembua, regeza regeza macho mtabasamie mtu mwenye pombe za ghalama kwenye meza yake hao ndio maboss"
"Sawa candy nitajitahidi"
Nilipoingia ndani mda mdogo tu nikafatwa na bwana.
"Mambo dada"
Nikiwa narembua "poa""Umependeza"
"Asante umependeza pia" baada ya kusalimiana na yule kaka akawa muwazi , "samahani unaweza kusogea kwenye meza yetu ili tuenjoy vinywaji na vyakula pamoja", nilikubari, Wakati huo candy na Emiria wako nje, walipoingia ndani kumbe kwenye ile meza boss alie kuwa ananunua anafahamiana na candy pamoja na Emiria.
Wakati naendelea kunywa pombe simu yangu ikaita ile naangalia nani anapiga, alikuwa baba mzazi maana alikuta missed call zangu na meseji pia, nikasita kwanza kupokea simu maana nilikuwa muoga kwamba atasikia sauti za muziki na ameisha zoea hata akipiga usiku nikiwa hostel anasikia utulivu au wadada wenzangu wakiongea tu, hivyo nikajua lazima ataninasa Niliwambia "sorry dady anapiga simu ngoja nikaongee nae washroom" kule napo mziki ulikuwa unasikika, nikawaza sana nipokee au niache, roho ikakataa kuchunia simu ya baba, nikapokea hivyohivyo.
"Hallo Zubeda binti yangu"
"Hallo baba shikamoo"
"Uko wapi hapo mbona nasikia kelele sana au upo disco"
Hapana baba kunasherehe leo hapa chuo ya kutukaribisha sisi mwaka wa kwanza ndio maana unasikia mziki"
"Haya sawa binti yangu kuwa makini sana mama, ujitahidi kwenye masomo binti yangu leo sikuwa na hela kesho asubuhi nakutumia laki moja ujibane siunajua hali ya nyumbani ujitahidi kupika usiwe unanunua vyakula mtaani maana ghalama inakuwa kubwa"
"Sawa baba" na kiukweli sikuwai kupika maana hatukuruhusiwa ila yeye alikuwa hajui
Nilimjibu kisha nikarudi kwenye meza, kumbe wale watu walikuwa wamenichanganyia dawa ya kunilegeza mwili mzima na wenzangu waliona lakini walipewa pesa ya matumizi ili wasiseme siri kusudi mimi nikatumike sana kitandani.
Sasa wakati nataka kunywa ile pombe kumbe meza ya pili kuna mtu alikuwa amekaa na mke wa mtu wanakula maisha sasa mme wake alipojua akaja kufanya vurugu walipo anza kutupiana chupa ikabidi sisi tutoke na sikutoka na ile glasi hivyo nikapona yale madawa.
Wakati tumekaa meza nyingine na nikiwa tayari nimenunuliwa bia ya kwanza akili ikaanza kama kuruka, nikasimama pembeni ya meza nimelewa nikaanza kucheza mziki mpaka wakashangaa nilicheza wote wakafurahi, yule boss aliekuwa anazamini akamwambia candy aniingize chumba namba 8 anajuka.
Usikose 5
mambo nini?Candy alipo fanikiwa kunipeleka chumbani akasema "nakuomba Zubeda usiniangushe tafhadali mpe utamu mpe penzi zuri jizungushe kitandani, umekunywa umekula mburudishe boss siku nyingine asitukatae"
"Sawa Candy lakini naomba unisaidie kama una condom naogopa magonjwa candy" "Condom za nini sio tamu bhana jitahidi tu ulowane siunajua ukimwi kuupata mpaka uwe mkavu ehh na hawa mababa wameisha choka kimoja tu analala"
"Mhh haya sawa msiniache lakini mnisubirie"
"Poa"
Yule baba alipo kuja wakaja wanaume wawili mara ghafla akaja Candy kwamba wametumia hela zote hawana hela ya kulipia chumba kingine wanataka tufanye mapenzi wote chumba kimoja.
Yule mwanaume akasema, "mrembo vua nguo basi"
"Ehh navuaje watu wapo ndani"
"Unawaza nini bhana we vua tu"
Candy bila aibu akasema "vua tu uoni mimi nimevua unaogopa kwani kuna mtu wa darasani humu best yangu"
Ndipo nikavua mpaka chupi na kujilaza kitandani. Sasa yule bwana alikuwa na matatizo ya nguvu za kiume yeye anataka umchezee saaana mpaka uume usimame, "nishikeshike mrembo" wakati nashika uume wake akawa analia kimahaba mimi nashangaa, "ohhh ohhh tamu nasikia raha endelea ninyonye jamani nasikia raha" kiukweli yule bwana alikuwa anamzidi hata baba angu umri tamaa za pesa zikanifanya nifanye lile tendo, ile naangalia pembeni yangu sikuamini kumuona candy anafanywa nyuma ya maumbile yake, "usiangalie hao nitekenye jamani nataka kufanya tendo" niliendelea mara ghafla Emilia akaja ndani mule mule na mwanaume mwingine akavua bila kuwaza akapanda juu ya yule mwanaume akawa anakatika kiuno anamnyonya denda huku akigeuza lasta alizosuka kwa nyuma, uume wa yule mwaume ulipo simama wakati ananiamboa nipande juu yake ili afurahi mlango ukagongwa kwa nguvu nje, wote wakasinyaa maana kulikuwa na ugomvi baa kumbe yule jamaa aliechukuliwa mke alikuwa amekuja na mapolisi akadanganya kwamba kuna wavuta madawa pale tulipotoka wote tukakamatwa na kupelekwa polisi hapo wazazi wangu hawajui na uongozi wa chuo haujui pia, kesi ikaanza kuwa kubwa ile mitihani yangu Cr akawa ananichukulia na nilikuwa nimefail yote wakati huo nina mimba "usiombe kukamatwa na mapolisi maabusu pachafu choo cha ajabu jamani" wale wanaume wakapata wazamini bado sisiKipindi bado tupo mule ndani tukahisi wale watu watakuja kututoa na sisi lakini siku tatu zikafika bila hata kutuwaza, nikaanza kulia nawaza je baba akijua nimekamatwa kwa kesi kama ile kibaya zaidi nilimdanganya kuwa ilikuwa ni sherehe ya chuo atanifanya nini jamani, maisha yalikuwa magumu mule ndani chuoni tukawa tunakosa vipindi kizuri uongozi wa chuo haukujua maana taarifa zingefika nyumbani.
Baada ya kesi kujulikana kwamba sio ya kweli na sisi hatuna makosa wale polisi waliokuwepo zamu wakaona tukitoka bila kuwapa kiasi chochote cha pesa watakuwa hawajafaidi hivyo wakatuomba elfu 40 kila mtu tuliposema hatuna wakasema tuwapigie wazazi maana tuliwambia kwamba sisi ni wanafunzi, Candy akaanza kujiliza, "afande baba akijua atanipiga sana nipo tayari hata kutoa penzi nitoe humu"
Walikuwa wapo watano hivyo wakapanga kutuchangia wote kimapenzi, "candy mimi sipo tayari kufanya hivyo, hivi candy uogopi yaani sijui upoje"
"Zubeda usiniletee ujinga wako nakuomba, hivi nyumbani wakijua hujui itakuwa so, afande mimi nipo tayari" akatolewa yeye na Emilia kisha wakapelekwa kwenye vikonakona huko baada ya hapo" aliekuwa amebaki akasema, "wewe siunakiburi tutaendelea kuishi humo tena vizuri hatuna watu ngoja tubaki na wewe"
"Afande mimi ni mjamzito najisikia vibaya kufanya ilo tendo simtendei haki mwenzangu"
Mungu saidia akaguswa yule kaka mwenyewe akaniruhusu nitoke ile naondoka tukaonana wote tukaenda mpaka chuo.
Siku moja tukiwa pale chuo yule kaka alienipa ujauzito nilimuona kwa mbali anamshusha mwanafunzi pale maana ndio ilikuwa tabia yake kuwabadilisha kama nguo, nilikimbilia akawa ameniona "mambo kaka"
"Poa nani"
"Umenisahau kwani mimi ni yule mdada ambae tulikutana club nikakulilia shida ukanitoa usichana wangu naitwa Zubeda" yule dada alie kuwa ameletwa akachukia, "ehhh babu G unawanawake wengi hivi yaani mimi unanichanganya na huyu kinyago" "Nani kinyago, afu ulipo nilazimisha kulala na wewe siku ile ukanipa ujauzito, sikuwa kabisa na mawasiliano"
Alipo sikia ujauzito, "ehhh wewe dada yaani unaonaona watu tu mtaani unawashibokea mimi nitembee na wewe acha shobo tembea kule"
"unakataa mimba yako mimi sijawai kulala na mtu zaidi yako kaka nisaidie"
"Dada wewe ni mwanamke mwenzangu nakwambia ukweli dada huyu kaka amenipa ujauzito, mimi nitateseka nao nakosa hata raha ya kujisomea naomba unisaidie" nilizungumza nikiwa nimepiga magoti, "baby ni kweli anayo yasema huyu dada"
"Mimi simjui bhana utaniuzi love" yule dada akaingia ndani ya chuo sikuamini kabisa kuona Babu G anaondoka zake, ndipo nikaanza kumfatilia yule dada anakaa chumba gani mule chuo hostel ili nipambane navyo weza kupata namba ya yule kaka alie nipa ujauzito, ili nitakapo jifungua mwanangu amjue baba.
Wakati ameingia kwenye chumba chao tu, rafiki yake akasimama, "hivi Fetty unaakili kweli, sinimeisha kuzuia hiyo tabia fetty wewe ni wakuvaa bikini yangu kwenda kwa mabwana zako, hivi kwanini hununui mimi nimekuchoka bhana sitaki mazoea ha hivyo kunamaladhi bhana"
, nikajichanganya kumuongelesha kwamba anipe namba, "alisimama akaanza kunisema, akataka hata kunipiga" siku ya pili nikarudi tena ili niongee na alie kuwa analalamika kuhusu bikini yake
Nilishangaa kusikia tena ugomvi mwingine fetty analalamika, "nyie wadada humu ndani mmenishinda tabia mimi nitahapa hichi chumba yaani mimi nimeenda kulalwa huko usiku mzima nachoshwa afu hela niliyo pesa mnanibiia, siwezi kukubali kabla hatujaenda darasani nawacheki wote" nikajua fika hapo siwezi kusaidiwa nikarudi chumba chetu.
Candy alikuwa ndani pamoja na Emilia wanapiga story, "candy shost yangu, naomba unishauri hapa"
"Ushauri gani best"
Unamkumbuka mjomba wangu yule kaka ake mama, kijana wake anasoma mwaka wa tatu" "Ndio namjua, si yule mwenye hela"
"Amesema nisimwambie mtu yoyote eti anataka kuninunulia simu ya (I Phone) kama ya madamu wa somo la Communication skills ila amesema anataka nifanye nae mapenzi na niende na zubeda kuna rafiki yake amempenda na atampa zawadi akienda"
"Ehh acha ujinga mnachezeaje bahati nenda mama, kwani mjomba akifanya ndio tundu litaziba, fata hiyo simu mpe utamu kama wote ili hata kama ni vizinga uwe unapiga maana atataka utunze siri"
Walinishawishi sana na mimi niende Emilia mpaka nikakubali, tulifatwa na gari nje ya geti.
Walikuwa wababa wazima ndipo ikabidi niseme "Shikamoo"
"Mambo warembo" wakajibu kipindi nipo nyuma kwenye kiti na huyu baba mwingine......Yule baba akaanza kusema nimnyonye uume wake ndani gari tukiwa bado hatujafika sehemu ya tukio.
"Usijali jamani nitafanya hivyo kumbuka tuko safarini tunaweza kupata ata ajali"
"Hapana bhana mimi sitaki kukuchezea Zubeda nitakutunza nifurahishe"
"Sawa nitakufurahisha tukifika sehemu usika na iwe ya kisiri siwezi fanya hivi mbele ya best yangu"
Safari iliendelea kumbe wakati huo tupo safarini candy akamuita mkaka mmoja tunasoma nae aje mule hostel ili wafanye mapenzi maana sisi wote hatukuwepo.
Tulikunywa pombe tukacheza mziki sana baada ya hapo Emilia akaingia chumbani na mjomba wake, mimi nikaenda na yule baba chumba kingine.
Sikujua Emilia kama alifanya mapenzi na mjomba wake maana sijawai kumuuliza ila wakati tupo mule ndani na yule baba ambar ata umri wake ulikuwa unamzidi baba akaweka simu yake music ili tucheze mziki, tumbo lake lilikuwa kubwa akiwa anafurahi kunibambia mimi moyo wangu unakataa sijisikii raha kabisa nikashangaa anasema nimnyonye tena, huku nikisikia kichefuchefu kweli nikainama na kuanza kuinyonya ndani ya Sekunde chache nikajisikia kutapika nikatoa mdomo na kuwai chooni kutapika, "Ohh pole Zubeda sikujua kama ukinyonya unakuwa na kinyaa nisamehe"
Akaenda kitandani "njoo Zubeda ninahamu na wewe"
"Sasa mbona hauna kinga naogopa" nilisema hivyo ili tusifanye maana sikufurahia mtoto wangu tumboni abadilishiwe wanaume, "nimechoka kukubembeleza, unataka nikuue humu ndani ehh yaani umenipa mzuka unataka nani aupunguze"
Niliogopa sana ikabidi nimjibu "twende basi bafuni kwanza tujimwagie maji" "Hapo sawa sio ujanja ujanja sipendi uhuni"
Tulienda kuoga akasema, "inama basi kama mchuma mboga nipate kidogo" "Usiwe na haraka tutafanya humu sio pazuri"
Nilitumia njia nyingi lakini wapi, ikabidi nimpe penzi na bado ilikuwa inabana akasema, "leo nimepata furaha mke wangu hanipi utamu kama huu unatunda tamu nataka nikupangishie utoke hostel niwe nakuja kwako, ila sitaki wanaume ndani"
"Ehhh mimi sitaki, baba ataniua"
Alipofanya viwili tu akasinzia kama nini yaani alichoka mno anakoroma tu, nikamchomoa hela ya nauli kisha nikakodi Tax maana nilikuwa nimeanza kuwa mzoefu, nikaenda mpaka chuo, wakati huo candy anaburudika na mwanaume bila taarifa.
"Candy unaleta wanaume humu" yule kaka akashtuka akavaa nguo haraka ili nisione nyeti zake, "Zubeda tumeanza kuingiliana lini kwenye starehe, kwani wewe umetoka kufanya nini, nitokee hapa"
Yule mkaka tunae soma nae darasa moja yaani Samson akasema, "sasa candy unaniita ili kunichoresha kwa marafiki zako siulisema leo uko peke yako, natokaje sasa usiku huu"
"Sam mpenzi wangu nisamehe sikujua kama atakuja mapema waliaga wanaenda kulala huko moja kwa moja"
Samson alilala mulemule ndani, kulipofika usiku zaidi wakati huo ninamawazo usingizi sina kabisa
Namuwaza mwanangu tumboni nitamtengenezea mazingira gani mazuri na nisifeli chuo wala kuendelea kufanya mambo ya kishenzi.
Nikaanza kusikia sauti za mapenzi Candy akifanya na sam nikiwa mulemule ndani wakati huo taa zimezimwa, "ehh Mungu, umenikutanisha na watu wa aina gani hawa yaani hawaogopi, wanafanya dhambi bila uoga"
Sikulala siku hiyo mpaka kunakucha ile saa kumi na mbili simu yangu ikaita, kabla sijapokea candy akasema, "kaongelee nje Zubeda siunajua cha asubuhi kilivyo kitamu" sikumsikiliza maana niliona kama ni dhalau na hata kama ni ulimbukeni sio kwa ujinga huo, simu ilipoita mara ya pili afu namba ngeni wazo likaniambia uhenda ni Baby G amenipigia na ameguswa kuhusu mimba lakini nikahisi uhenda yule bwana nilie mchomoa hela anataka kunipa vitisho nikaamua tu kupokea, "hallo nazungumza mtu wa karibu sana na Emilia"
Ndio ni rafiki yangu, nakaa nae na pia nasoma nae darasa moja"
"Emilia amepata ajali yuko na mzee mtu mzima hapa wako hoi gari limegongana na fuso la michanga njooni mitaa ya magengeni sisi tunawapeleka hospitali"
Nilikata simu candy akiwa amenuna yeye bwana yake
"Candy Emilia amepata ajali inabidi twende kumuona"
bila hata kuwa na wasiwasi
"Tangulia Zubeda ukamuone mimi nakuja"
Alisema hivyo ili atimize lengo lake la kufanya mapenzi na samson mpaka nikawaza kwamba yule kaka itakuwa alikuwa fundi kitandani.
Nilijiandaa haraka, nikaenda mpaka sehemu ya tukio yule nilie lala nae mimi hakuwepo
Emilia alikuwa amelazwa na nguo za kutokea club,
wazazi walipokuja wakaanza kujiuliza "hivi binti yetu na hizi nguo za kiuni hivi alikuwa ameenda wapi na mjomba wake usiku kama huo"
"Mme wangu kwanza nashangaa kuona binti yangu yupo kwenye mavazi kama Haya, hatujamfunza hivyo"
"Mke wangu mbona shemeji yangu huyo kaka ako anazunguka na binti yangu bila mimi kuwa na taarifa amenikosea bhana atakama ni upendo lakini hizo sio taratibu anlipie ada basi"
Wakati nawasikiliza wakizungumza baba Emilia akashikwa na wasiwasi maana macho yangu yalionesha kama ninajua kitu kuhusu hiyo ajali,
"Unaitwa nani wewe binti"
"Zubeda"
"Emilia ni rafiki yako"
"Ndio mzee"
"Mara ya mwisho alikuaga anaenda wapi"
Nilishindwa kuficha ukweli maana hata wazazi wangu walinifunza kuwa uongo ni dhambi ndipo nikasema ukweli.
"Mjomba wake alituita mimi na yeye na alikuwa na rafiki yake mkubwa tu akasema afanye mapenzi na Emiria kisha ampe simu ya iPhone Emilia akakubali ndipo tukaenda Emilia akaenda chumbani kufanya tendo na mjomba wake, mimi pia nikalazimishwa kufanya kitendo ila ilipofika usiku sana amelala yule baba nikamtoroka, badae ndio nikapigiwa simu kwamba wamepata ajali"
Wakati namalizia kuongea mama Emilia alianguka chini akapoteza Fahamu, Baba Emilia akashindwa kuvumilia ni mwanaume bonge la baba ila alilia, wakati bado anawaza nikurudi hostel, kumbe wakati sam anavua suruali kufanya tendo na Candy akadondosha kitambulisho chake cha chuo ndipo nikakitunza ili akiulizia nimpe.
Kipindi bado Emilia anaumwa kuna somo candy alikuwa hajafanya hivyo angeweza kufukuzwa chuo ndipo akamfata mwalimu amsaidie,
"Mwalimu sijafanya mtihani wako nilikuwa naumwa naomba unisaide nitafeli"
Candy kama alivyo nielezea alikuwa anaongea maneno hayo akiwa anajilamba lips na kurembua macho,
"Nikikusaidia, utanisaidia"
Alisema mwalimu
"Chochote nitakupa mwalimu wakiwa wawili ofisini candy alinyonywa mate mulemule na wakapanga kukutana vyumba vya wageni"
Walifanya lile tendo mwalimu akanogewa kimapenzi na Candy akataka wasiachane wakati huo Sam ameisha zidisha upendo kama wote.
"Candy kuwa makini kumbuka mwalimu akigundua unatoka na sam utasababisha sam afelishwe mitihani"
"Mimi mtoto wa mjini najua jinsi ya kucheza nao"
Siku zilisonga bila kugundulika
Siku moja nimekaa hostel candy akasema
"Zubeda nina ujauzito sasa sijui wa mwalimu au Sam"
Wakati huo emilia na mjomba wananafuu hospitali"Candy wazazi wa Emilia wanatuita kwao inabidi twende"
Alikubali tukajiandaa, tukaenda kwa kina Emilia, tulikuta kikao cha ukoo, mjomba, pamoja na Emilia wamewekwa katikati kuongelea swala zima la kufanya mapenzi binti pamoja na mjomba wake.
Walikuwa wanakataa ila tulipofika baba ake Emilia akaahidi kutupa zawadi tukisema ukweli,
Candy aliposikia mambo ya zawadi na yeye akasema ukweli kuhusu mjomba wake Emilia walivyo toka kimahusiano.
Mke wa mjomba wake candy akatoka nje kwa hasira familia nzima na ukoo ukamkataa mjomba na baba yake Emilia akadai million 40 kwa unyama kwa binti yake na akaomba ukaribu wote ufe, Emilia alilia mno, akaona aibu lakini akarudi chuo yule mjomba wake kutokana na kusemwa sana aliamua kujiua mwenyewe kwa kumeza panado 10
kwa pamoja kisha akanywa na pombe kari juu akaacha mali nyingi.
Baada ya mda kadhaa kupita nikiwa bado mjamzito, nashukuru Mungu tumbo langu lilikuwa dogo, ndipo nikaamua kumkubalia yule kaka wa mwaka wa tatu alie kuwa ananipenda kusudi nije kumshikisha kuwa hiyo mimba ni yake, aliniita sehemu aliyo panga maeneno ya Sinza, nilipofika sikuamini kulikuwa na pakiti ya sigara, bangi na chupa za bia pia "baby unatumia vilevi hivi vyote" "Ehh zubeda haya ni maisha ya chuo tuko huru hatubaniwi kama secondary, ngoja nikupe bangi uone akili itakavyo waza mambo mazuri"
Aliwasha nikakuta nikakooa, nikaanza kuchekacheka mule ndani akafata pombe tukanywa gheto kwake tukavuta sigara kisha nilipo lewa akanivua nguo nikiwa nafurahi na nimepata hisia akaanza kunipa raha ambazo tangu nizaliwe kweli sikuwai kuzipata nilisikia utamu wa tofauti hivyo nikawa nataka kupata raha ile ile, "ukitaka kupata raha hii kila siku inabidi tunaaza kutumia hizi dawa tulizo tumia ndio unaenjoy"
Nilikubali na nikaanza kuwa mzoefu pia
Siku moja tukiwa darasani mwalimu alituachia kazi ya kufanya kiukweli ilikuwa ngumu ndipo nikawashauli wenzangu kwamba twende kwa Mussa, mpenzi wangu wa mwaka wa tatu atufundishe, tulipofika kuna wanachuo walikuwa wamepanga palepale wakaniita
"Shem zubeda njoo, tufanyie mpango hao wenzako tuwapate leo bado wabichi"
"Msiofu nawapanga ngoja niwavutishe msiniangushe wakilewa tu kila mtu anatoka na wake au vipi shem zangu"Mussa alileta bangi, pombe na sigara za kutosha pia wale wengine waliowatamani wenzangu wakajipanga na nyama za kuku chips yai kama zote, tukaanza kula maisha huku tunajidanganya tukiisha lewa ndio tusome, waliwasha radio tukacheza mziki tukiwa tunatafuna mapaja ya kuku, Candy anavyo penda sifa akawa anainama akikatika mauno kama yote pombe zilikolea tukaanza kubadilishana mate watu wakabambiana mpaka giza likaingia bado tumelewa mimi tayari sijitambui nimelewa mpaka najisikia kufa nikavua nguo na kubaki na nguo ya ndani tu maziwa yote waziwazi, wote tukiwa ndani ndipo wakazima taa baada ya giza kukolea kumbe wale wanaume walikuwa wajanja wenyewe hawakulewa sana tulivuliwa nguo wote mule ndani wakiwa na furaha wametukomesha ndipo tukafanya mapenzi kila mtu na mtu wake mule "ehhh Mungu nisamehe zambi hizi mwanangu asizipitie"
tulijikuta tunafanyiwa kinyume na maumbile, walipo choka kila mtu akabeba wake wakaingia vyumbani mwao, wakachanganya hadi nguo zetu za ndani maana hawakujua hii na nani na hii ya nani, asubuhi ndipo tulifurahia wote tendo tulitoka tunasimuliana kwamba hatujawai kupata raha kama hizo na kila mtu akampigia simu mtu wake na tukawa tunawatafuta kama wapenzi wetu wa kudumu, wakati huo kazi ya mwalimu hatujafanya na niyamuhimu sana kwenye matokeo yetu ya mwisho.
Candy baada ya kujikuta anazama kwenye penzi la rafiki yake Mussa ndipo akapanga kwenda kuchomoa mimba ili yule Sam na mwalimu wasimzoee, "candy usitoe mimba kwani ukizaa utabadilika jina"
"Mimi nimempenda Malik simtaki Sam wala mwalimu yaani wote hawajui kunikuna mpaka ndani, Zubeda mimi napenda kufanywa sipendi dakika chache tu mtu kaloa jasho"
Kweli alinunua kidonge cha elfu kumi tu ule ujauzito ukatoka akawa karibu sana na Malik, tukiwa tumelala Sam na mwalimu walikuwa wanapiga sana simu sisi tunawacheka tu, nilipo muona Candy ametoa ujauzito na mimi nikapata wazo la kwenda kununua hiyo dawa nitoe mimba ili Mussa abaki na mimi vizurivizuri, nilipo meza dawa tumbo likauma, niliumia tumbo mno sikuweza kukaa, kulala wala kusimama mimi ni kujikunja tu na mimba ikagoma kutoka, "zubeda katolee hiyo mimba hospitali" alisema Candy.
"Sawa best kesho naenda ila naogopa kufa"Kabla sijachomoa mimba ya Babu G, moyo ulikuwa unakataa "zubeda usitoe hiyo mimba huenda Mungu amekupa kizazi kimoja" lakini nilikuwa nimezama kimapenzi na Mussa hivyo nikajikuta naumiza kichwa
Ilo wazo lilinitesa kwa muda siku moja nimekaa darasani alikuja Diana, "hellow zubeda our you"
Alinisalimia nikasema "am fine"
(Niko poa)
"Zubeda leo kunamtumishi anakuja hapo mbele kanisani mida ya saa 12 twende rafiki yangu tukasikilize neno la Mungu, "sawa Diana tutaenda"
Nilienda hostel kuwambia Candy na Emilia ili twende wote maana sikupenda kuwaacha rafiki zangu, "Emilia hivi Zubeda ataacha lini ushamba"
Emilia akatabasamu, "mnamambo nyie kila siku majanga" "Emilia sio uongo rafiki yetu anamatatizo, hivi unazani ukienda uko makanisani utatoka bila kuwaachia pesa, ulisha wai kuona mke yoyote wa mchungaji amevaa nguo chafu, hiyo ni biashara wanatafuta pesa kijanja rafiki yangu, hapa mjini ukizubaa utaliwa, haya basi kama unaenda unazani utaenda na vimini vyako hivyo, kaa hapo badae tutoke leo kuna fursa ya bia (Mlimani city)
kwanza hujawai kwenda inabidi uende upunguze ushamba" "Ehh sawa best nimekuelewa"
Ilipofika mida ya kuondoka kanisani simu ikaita
"Zubeda nazani upo tayari shuka chini twende kwenye maubili"
"Diana best yangu tutaenda siku nyingine leo nimeziona siku zangu najisikia vibaya tumbo linaniuma"
"Pole best siku nyingine zubeda"
"Haya sawa lakini uniombee Diana"
"Usijali"
Usiku ulipofika tukatoka kwenda kula starehe tukakutana na wanafunzi wenzetu huko tukaungana nao urafiki, wanaume kwa wanawake, siku ikapita. "Emilia nataka kutoa hii mimba maana Mussa ameanza kunishtukia anaweza kuniacha siunaona uso wangu umeanza kubadilika alafu mda mwingine namjibu ovyo anachukia ila kiukweli nampenda" "Mwambie Candy mimi sijawai kutoa mimba sijui nikwambie nini shoga"
Candy akasema, "kuna mkaka mtaharamu wa kutoa mimba andaa elfu 70 tu".
"Candy sina hiyo hela "
"Mpigie baba, nyumbani mdanganye hela ya kununua flash, notisi, scientific-calculator, kisha sema unaumwa, wewe ni mtoto wa kike lazima baba apambane na ukiwa unaongea nae mwambie ongea na mwalimu najua jinsi ya kucheza na akili ya wazazi lazima atume pesa na ya pombe kali itabaki tu"
Usikose 14.Nilishawishika kweli nikachukua simu na kumpigia baba mzazi kumdanganya ili anitumie pesa.
"Hallo Baba, shikamoo"
"Marahaba binti yangu, habari za huko habari za masomo mama mnaendeleaje binti"
"Baba nashukuru Mungu nafanya vizuri darasani matokeo yangu yanakuja vizuri tu ila baba kuna matumizi nimekosa sina hela ya notisi, calculator, frash na ninaumwa, leo tumeombwa hela ya takataka hapo chuo mwalimu huyu hapa ongea nae"
Ndipo candy akaanza kuzungumza uongo akijifanya kwamba yeye ni mwalimu, "hallo za huko, binti yako zubeda anajitahidi sana ni binti msikivu anajituma darasani sio muhuni kama wengine, ila naona leo amechemka mwili, nimemshauri aende hospitali"
"Sawa mwalimu mama yake hapa amefurahi kusikia hivyo nitatuma mwalimu sawa"
Candy akaoneesha sura ya furaha wakati ananiachia simu niendelee kuongea.
"Binti yangu huku hali imekuwa mbaya Babu yako anaumwa na mimi ndio namuuguza, anakula kwa mirija anatibiwa nyumbani pesa imekuwa ngumu Zubeda ila ngoja nikakope kwa mama Atupele na baba Shamsa kisha nikutumie hata laki moja na 20, elfu kumi utampa huyo mwalimu ya vocha, wadogo zako wanakutegemea binti yangu hata sisi wazazi jitahidi sana Zubeda"
"Sawa baba"
Baba alipo maliza kuongea machozi yakaanza kunitoka.
"Unalia nini sasa wakati mchongo umekamilika subiria huo mkwanja, ngoja nimpigie jamaa wa kuichomoa hiyo mimba badae pesa ikiingia twende, unataka upate litumbo hapa unazani utaenda nalo club nani akupende unatematema mate"
Baada ya masaa manne pesa ikaingia, nikajiandaa tukaenda mpaka kwa huyo kaka aliekuwa anauza madawa ya afya ili aweze kunitoa huo ujauzito.
Candy na Emilia walibaki kwa nje sisi tukaingia chumbani akaniambia nivue nguo zote kwasababu nilishaanza kuwa mzoefu nikavua bila uoga, sijui kwanini nilihisi kama amevutiwa na mwili wangu ila kwasababu nilitaka kutoa sikumuwaza, alichukua sindano moja akanichoma ile sindano ilinifanya nikaishiwa nguvu mwili mzima hata kuongea yenyewe tabu yule kaka akavua zipu yake wenzangu wakiwa hawajui akavaa kinga kisha akaanza kunitumia kimwili bila idhini yangu kila nilipotaka kumsukuma au kupiga kelele sikuweza,
alipo maliza ndipo akachukua chuma flani hivi cha kuingiza ukeni kuvuta kitoto kitoke nje
Kipindi kile chuma kinaingia nilikuwa nasikia maumivu kwa mbali maana nilikuwa kama nimelewa mwili umelala tu siwezi kujigeuza wala hata kuachama mdomo, yule kaka katika kufanikisha kukiingiza ndani huku uke wangu ukiwa umetanuka, akakosea utaaramu wake bahati mbaya akagusa sehemu ambazo hazikupaswa kugusa hapohapo damu zikaanza kutoka, akajaribu kufanya utaratibu ili damu zisiendelee kutoka kukomboa maisha yangu, ila damu kama zote nikaregea kabisa zaidi hata ya nilivyo kuwa.
Akajua moja kwa moja lazima nife, akawaita candy na Emilia maana hari ilikuwa mbaya.
"Candy rafiki yangu huyu tunaweza kumpoteza anatoka damu nyingi mpaka mapigo yake ya moyo yamebadilika sijui tunafanyaje, maana tukienda hospitali kubwa naweza kukamatwa nikaozea jera ujue hii kazi hairuhusiwi hata kidogo, Mungu wangu mbona sijawai kukosea leo imekuwaje, tunampoteza huyu"
wakati huo damu zinatoka ukiangalia chini ya sakafu ni damu yangu tu,
Badae nikawa kama nimepoteza nguvu zote, "candy, Emilia mkomboeni mwenzenu mimi sitaki tena hela yenu hii hapa mpeleke hospitali kubwa"
Nilibebwa kwenye bajaji bila kujitambua bajaji ya watu ikachafuka, nilipofika hospital wakajaribu wakashindwa wakasema niende hospitali kubwa ya taifa (MUHIMBILI) nikapandishwa kwenye AMBULANCE haraka haraka nikashushwa kwenye kitanda nikakimbizwa chumba cha watu mahututi nikapandikizwa mitambo ya kuangalia mapigo yangu ya moyo huku mimi najisikia kama ubongo unakauka maji na umesahau kila kitu.
Wakati huo wazazi wangu hawajui. Candy na Emilia wameisha changanyikiwa nje, nikawekewa mipira ya chakula kama baba alivyo niambia babu anauguzwa, maana nisingeweza kula, drip zikawazinabadilishwa mda wote, nikaanza kuwekewa damu ila bahati mbaya damu zikawa chache,
Daktari akawaita candy na Emilia
"Ehh niambieni mwenzenu amekuwajekuwaje mpaka kutoka damu kwenye nyeti yake"
"Doctor tulikuwa tunashuka kutoka hostel bahati mbaya akateleza kwenye ngazi alipofika chini akawa amepiga msamba kibaya zaidi alikuwa ameshikiria karamu ikamtoboa mpaka ukeni kwake ndipo akaanza kuvuja damu"
Alisema Candy
"Wazazi wake wanataarifa"
Emilia akajibu, "hawana taarifa doctor"
"Mnanamba Zao, au mawasiliano yoyote"?Daktari alipo omba mawasiliano ya wazazi wangu, Emilia kidogo atoe ila Candy akasema, "kiukweli maisha ya huyu dada mimi ndio nayajua na huyu Emilia hajui chochote kuhusu Zubeda, hii siri uwa hataki mtu yoyote aijue, lakini kwasababu tunashida ningeomba rafiki yangu atoke nje ya ofisi ili nikuelezee doctor" "Haya sawa naomba utupishe kidogo nimsikilize"
Emilia akatoka, Candy alivyo zaliwa na uongo akaanza kucheza na akili ya Daktari, "Candy alikuwa na ujasili wa hali ya juu"
Akaanza kusema uongo kwa daktari,
"doctor huyu rafiki yangu Zubeda unavyo muona hapo, hana baba wala hana mama, katika historia yake aliniambia kwamba mama yake mzazi alichukizwa na baba Zubeda kwa kitendo cha kuoa mke wa pili, hivyo mama ake akamuacha zubeda kwa dada yake,
sasa wakati wapo wawili mama na baba zubeda yule mama alikuwa amenunua kidumu cha mafuta ya petrol kipindi mume wake anaoga yeye akafunga mlango na ufunguo kisha akaficha ufunguo juu ya kabati alafu akawasha moto ndani yeye na mume wake wote wakafia ndani, hivyo Zubeda akalelewa kituo cha watoto yatima na kutokana na kujituma kwake ndio maana amefika chuo na hapo alipo anamkopo wa serikari asilimia zote ndio unamuweka mjini"
Emilia aliongea uongo huo akiwa katika muonekano wa masononeko mpaka daktari akaamini, na kwajinsi alivyo kuwa amebarikiwa urembo uwezi kumzania hata kidogo, wakati bado daktari anaendelea kuongea, candy kwasababu alishazoea wanaume wa aina yoyote wame za watu vijana, wazee, hakuogopa akamshika mikono yote daktari na kumpa ahadi ya kumpa chochote atakachotaka huku akimtabasamia mule ofisini mpaka daktari akashikwa na butwaa na kukubali kunifanyia matibabu kwa umanikini akijua amepata mke msomi ambae anaweza hata kumchumbia kumbe kadondokea pabovu.
Sasa wakati Candy na daktari wanazungumza kumbe baba alinipigia simu,
Emilia ndio alikuwa na simu yangu ikabidi apokee, alipo ulizwa niko wapi akasema nipo najisomea masomo ya usiku darasani simu nimeacha hostel, akaambiwa na baba kwamba
"Akimaliza kusoma mwambie kwamba mama yake alikuwa anamuulizia kama ni mzima maana leo ameshtuka tumbo la uzazi mpaka sasa hivi hajisikii vizuri anamuwaza yeye tu"
Ndipo niliamini mama ni mama tu, hakuna kama mama.Niliendelea kupata matibabu kimyakimya bila chuo wala nyumbani kujua
yule daktari kwasababu alikuwa kaisha mpenda Candy hivyo sikuwaza hata kidogo chakula nilipata, huduma nzuri pia mpaka nikaanza kupata nafuu, mpenzi wangu Mussa alikuwa anakuja kunitembelea ingawa hakujua tatizo lililo nikuta tulimficha wote.
Hakuna mwalimu wala taarifa yoyote iliojulikana chuo mpaka kwa wazazi wangu maana maisha ya chuo sio kama shule ya msingi au secondary kwamba jioni watu wanakaa mstarini walimu wanaongea na wanafunzi na kujua hali zao,
chuo wanaamini wewe ni mtu mzima na hata kama kunataarifa yoyote chuo, unatakiwa kupitia ubao wa taarifa kusoma mwenyewe na kufanya kilicho elekezwa,
sasa ule utawala na uhuru ndio ulifanya nisigundulike nilichokifanya mpaka nalazwa,
yaani mpaka nikarudi hostle kutoka hospital kuponesha kidonda changu kimyakimya.
Sasa Candy alikuwa bado anamapenzi kwa malik wake na kilichokuwa kinamfanya ashindwe kumuacha Daktari ni kwamba alikuwa anamjali sana, zawadi kila siku anampitishia pale chuo na gari lake, candy alikuwa anameremeta unywere kama wote anabadilisha kila wiki.
Wakati huo bado hawajashiriki tendo. Siku moja tukiwa hostel wakati huo bado ninadawa nyingi sana nameza Candy alipigiwa simu kwamba usiku aende hotel nzuri ya kifahari ya ghalama kweli wakaenjoy,
"Ehhh siamini leo naenda kulala hiyo hotel, ehh nilikuwa naisikia tu, nitapiga picha kama zote leo"
sisi tulikuwa tunafurahi tu, lakini tumbo lilikuwa linaniuma mno hivyo hata kucheka nilikuwa siwezi maana ninakidonda kibichi bado.
Candy alienda hiyo hotel na akaambiwa chumba namba ngapi kabisa akifika apande ghorofa ya 4, atapaona.
Sasa yule daktari alitaka Candy awe mchumba wake kabisa maana alimpenda kutoka moyoni hivyo akaenda na vipimo vya ukimwi ili wawe wote na uhakika wa afya zao
"Baby pima kwanza wewe" alisema Candy maana hakujiamini,
Daktari akapima akamuonesha na kumuelekeza kwamba damu ikiwa hapa uko salama na kama iko huku basi umeathirika,
Candy alipoambiwa kupima kutokana na alivyo kuwa anatwambia alianza kwanza kutetemeka, akawa na wasiwasi maana alisha badilisha wanaume wengi,
"Bby mbona unaogopa kupima ukimwi tatizo nini, pima tu nakupenda ndio maana nafanya hivi"Kutokana na Candy alivyo tusimulia alikuwa muoga maana alikuwa hajawai kupima tangu azaliwe, doctor akamwambia, "mimi naona nimefanya jambo la heri kujua afya zetu na hii yote nikwasababu nakupenda naogopa kukuharibia ndoto zako za elimu, sitaki kukuchezea mpenzi wangu ndio maana nakwambia tupime ili tuaminiane"
Ndipo Candy akakubali kupima, wakati majibu yanakaribia kutoka akaamua kufumba macho ili asione maana kiukweli candy alikuwa anatembea hata na wazee wanao mzidi baba yake umri na shida kubwa alitaka kuwa mdada mrembo kuzidi wote darasani nywere za ghalama nguo harudii kwa mwezi na za bei juu, Daktari akasema, "mpenzi wangu fumbua macho, majibu yako haya hapa, kikubwa sio kwamba hautakuwa binadamu, fanya mazoezi, kula vizuri na usifanye mapenzi ovyo na wanaume, Candy damu yako inaonesha umeathirika"
Candy akajua moja kwa moja hana thamani tena akaomba hela ya kurudi hostel akiwa analia jicho jekundu alipofika akalala bila hata kutusalimia.
Kipindi hicho bado mimi naumwa.
kumbe mda wote anajiona ameathirika yeye akaona afanye mpango wowote ili mimi na Emilia wote tupate virusi vya ukimwi, ndipo bila kutuaga akaenda mpaka kwenye geto la mpenzi wangu yule Musa ili ampe penzi burebure kusudi akitembea na mimi niupate, kutokana na musa alivyo nisimulia candy alipokuwa ndani akaanza kujiongelesha.
"Hee jamani shem unamacho mazuri, huku akimtabasamia na kuonesha dalili za kutaka kutenda tendo"
"Asante shem wangu, vipi mke wangu anaendelea vizuri"
Alisema musa wakiwa ndani wawili mda huo nimelala hostel maana nilikuwa sijapona.
"Mke wako kupona sio leo" alijibu candy huku akishika vidole vya musa kumuingiza majaribuni,
"Nimependa vidole vyako musa"
"Shem leo umenisifia asante waego"
"Musa nahisi rafiki yangu anaenjoy sana penzi lako"
"Haa mi sijui anajua yeye"
Candy aliongea huku anasogeza siketi juu maana alikuwa na paja zuri kisha akawa anaweka mkono wa musa kwenye mapaja akijifanya kama anachezeachezea mpenzi wangu akaanza kupata hisia na kama unavyo jua wanaume kushawishika ni kidogo tu, na usiruhusu hata kidogo mwanamke kuwa karibu saaana na mme wako
Wote damu zikaanza kuchemka uume wa musa ukaanza kusimama wakiwa wanaangaliana macho kimahaba."Mussa ninahamu na wewe, naomba penzi lako pliz" alisema Candy kumshawishi musa ili na yeye apate virusi kusudi na mimi nivipate tuathirike wote. "Candy naogopa zubeda atajua nyie wanawake hamna siri mkigombana kidogo najua lazima utamwambia nimeisha tembea na bwana yako" alijibu Musa kwa msisitizo na kwa msimamo wa Kiume, candy hakukubali kushindwa, "alianza kusogeza lips zake usoni kwa mpenzi wangu akiwa anafunua maziwa yake ili Musa aendelee kushawishika, kiukweli wanaume sio wavumilivu uwezi kuamini candy na musa wakaanza kunyonyana denda na kipindi hicho mitihani imekaribia chuo candy hawazi kabisa kwamba wazazi wamelipa ada ajisomee ili asifeli chuo, candy kama alivyo toa ushuhuda alimvua zipu Musa wangu akimsifia kwamba "ohhh Musa kweli best yangu anaenjoy unamashine ya kazi"
Musa akajibu, "candy naomba tutumie kinga" "Ehh Musa condom ya nini au unahisi nina ngoma ehh"
"Sijasema hivyo ila unaweza hata kupata ujauzito ikawa tatizo"'
"Musa plz condom sio tamu, kipenzi changu naomba utamu plz"
Musa wangu alianza kushawishika akavua nguo wote wawili wakabaki kama walivyo zaliwa ndipo musa akaanza kumlainisha candy kama anavyo nilainishaga mimi, candy alilainika akaanza kutaka kujiingizia uume mwenyewe, kipindi wanataka sasa kusuguana ili virusi viingine mlango ukagongwa yule bwana yake Emilia anataka kuchukua notisi ajisomee kusudi aweze kufanya mitihani yake vizuri, ikabidi candy ajifunike shuka ili musa aongee na Malik kwanza, "mzee naomba notisi zangu nipitiepitie siunajua ratiba ya pepa imeishatoka" akapewa kisha akaondoka Musa akasema "candy siumeisha chojoa tusifanye tendo tutagundulika alafu nataka kusoma"
Candy akavua shuka hapohapo akamvua taulo Musa wangu kisha akapanda juu yake na kuanza kufanya tendo na kutokana na maelezo ya musa alijisugua sana ili mchubuko utokee kuweza kumuambukiza mwenzake.
Walipomaliza kufanya ujinga wao, mimi nikawa najisikia vibaya hapo kabla sijajua kama mpenzi wangu anafanya ngono na candy nikampigia Musa simu anipeleke hospitali maana ujauzito wangu ulikuwa bado ujatoka kipindi nimejaribu kuutoa, Musa alipokuja candy akataka kufanya tena mapenzi na bwana yake Emilia ili akamilishe mpango wake wa kishetaniTulienda wote hospitali lakini macho ya Musa yalikuwa kama ya wasiwasi hivi maana alikuwa anajishtukia kutembea kimapenzi na rafiki yangu wa karibu. wakati candy amemaliza kuoga hakuvaa nguo alibaki na nguo ya ndani, bwana yake Emilia akawa ameishiwa karatasi za kufanyia samali wakati anajisomeTulienda wote hospitali lakini macho ya Musa yalikuwa kama ya wasiwasi hivi maana alikuwa anajishtukia kutembea kimapenzi na rafiki yangu wa karibu. wakati candy amemaliza kuoga hakuvaa nguo alibaki na nguo ya ndani, bwana yake Emilia akawa ameishiwa karatasi za kufanyia samali wakati anajisomea na hakujua kabisa kama Candy alikuwa anafanya tendo na musa maana hata alipo omba calculator alipewa mlangoni. Alipokuja kumuomba Musa karatasi akawa ameingia getto moja kwa moja kwasababu mlango wenyewe ulikuwa wazi na wakati huo candy anajiangalia kwenye kioo akijipodoa taratibu, Malik alipoingia akamkuta candy akiwa katika nguo ya ndani tu, "ohh shemela samahani sikujua kama upo uchi" aliongea malik akiwa amefumba uso wake, "malik unaogopa nini, kwani nini kigeni kwangu, mitihani imekaribia tupunguze uzito"
"Emilia akijua je siatasema nimemsaliti" "Malik sasa atajuaje au unazani mimi ni mtoto"
Malik alikuwa na uoga flani hivi na bila kulewa hakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu, waliingia chumbani kwa malik na akaacha tena ratiba ya kusoma kulikuwa na chupa ya pombe kari ndani mwake akajichanganya wakalewa baada ya hapo hawakukumbuka kinga wala nini Malik alipata nguvu zaidi za kufanya tendo kwa mda mrefu kwasababu ya ile pombe hivyo akafanya tendo na Candy bila kujua kama anajitafutia maladhi, kiukweli kutokana na ushuhuda ile pombe ilisababisha Malik amsugue Candy kwa mda mrefu mpaka candy akasarenda mwenyewe na kudai kwamba amechoka, wakati wamemaliza kumbe Emilia alikuwa amempigia Malik mda mrefu na Malik hapokei wakati wanafanya mapenzi, Emilia akaamua kwenda geto kumuona malik na mda huo candy na malik wapo uchi wamefanya mda mrefu wamechoka sasa wanapumzika, mara ghafla mlango ukagongwa Malik hakuhisi kama ni Emilia maana mda mwingi alikuwa anakuja kwa taarifa, hivyo mlango ulipogongwa akaenda kufungua tu candy yupo kitandani yeye kavaa kipensi tu. Emilia alikuwa kama amehisi kitu hivyo mlango ulipofunguliwa tu akasukuma na kuingia haraka,
"Shoga yangu unafanya nini kwa shemeji yako uchi namna hiyo"
"Emilia hatujafanya chochote"
Hamjafanya wakati shuka linaonesha"
Ndipo emilia kwa hasira akachukua kisu kwenye vyombo na kumchoka candy bega la kushoto.
"Emilia umefanya nini hicho, mbona umemchoma kisu mwenzio" alisema Malik wakati huo Candy anavuja damu na kisu Emilia kakishikilia, mda huohuo candy analia akisikilizia maumivu, mama yake mzazi akapiga simu,
Candy akiwa bado anasauti ya kama mtu analia akapokea simu,
"Hallo shikamoo mama"
"Marahaba kulikoni mbona sauti imebadilika kama vile unalia umekuwaje au unaumwa candy binti yangu"
"Hapana mama kuna mtu ameniibia Laptop yangu ya kusomea na ina notisi zangu zote na mitihani imekaribia"
"Ehh utafanyaje sasa mwanangu"
"Mama nitumie hela nikanunue hata ndogo ya laki 5 kule kariakoo itanisaidia maana naweza kufeli mitihani"
Kweli mama ake alituma hela nayakutolea ikbidi candy na Maliki waende hospitali, ndipo tukakutana nao hospitali, Musa hakuamini kusikia kama candy kampa penzi malik wakati siku hiyohiyo ndio walifanya mapenzi hivyo wakaanza kuongea na malik kwamba Candy ni kicheche na anawagonganisha marafiki.
Kutokana na Emilia kufanya kile kitendo akaona itakuwa bifu akikaa pale hostel akaenda kuchukua vitu vyake na kuvipeleka mwa malik ili aishi nae geto moja huku wazazi wakijua fika binti yao amelipiwa hela kuishi kule hostel na asiishi na mwanamme lakini Emilia akafanya hivyo.
Nilipo ona Emilia katoka pale hostel wazo likaniingia kichwani kwamba, "kama Emilia kaenda kuishi na bwana yake na wewe kaishi na Musa maana ukikaa na candy utakuwa mtu wa starehe tu"
Kweli nilipanga vitu vyangu Musa akashanga nimekuja kuishi moja kwa moja.
"Zubeda mimi naona sio vizuri ujue wewe ni mtoto wa kike afu kingine unaweza kufia humu ndani hivi kesi kama hiyo naijibu vipi maana hakuna alie nikabidhi kuishi na wewe"
"Musa hivi kufa ndio nini kwani hata kama nikikaa hostel sinaweza kufa"
Nilimjibu hivyo nikiamini ujauzito wangu atautunza maana alikuwa mwaka wa mwisho hivyo nikajua fika atapata kazi tuishi wote, hapo sijajua kama ametembea na Candy.
Tuliendelea kuishi pamoja kama mke na mme na Emilia hivyohivyo, lakini nilikuwa bado sijapona hivyo nikawa namlizisha Musa kawaida ili asichepuke.
Nikawa nampikia chakula namfuria nguo nikawa kama nimeolewa hapo wazazi wanajua tunaishi hostel za chuo, siku moja usiku nikiwa napika baba akapiga simu nikamwabia Musa akae kimya.Tuliendelea kuishi tu nikipigiwa simu na wazazi anakaa kimya na yeye pia hivyohivyo.
Kutokana na babu kuugua sana kule kijijini ikabidi baba ajichange kumleta dar hospitali kubwa, hivyo nikajua moja kwa moja lazima atataka kuja hosteli kuniona na nikawaza akigundua nakaa na mwanaume itakuwa Tabu.
Kipindi bado nawazia ilo swala kumbe candy alichukia kabisa swala zima la sisi kuondoka hosteli na kumuacha mwenyewe ndipo akampigia Musa
"Mambo dear"
"Poa candy, unaendeleaje bega lako"
"Kidonda kinachelewa kupona, Musa nimekumis"
"Miss you too candy"
"Lini tutaonana wenyewe hata loji tu nzuri tuzungumze"
"Sahivi nipo taiti labda mpaka mitihani iishe candy"
Sasa candy kwa upuuzi aliokuwa nao akaamua kumwambia ukweli Musa "Musa kuwa makini, nakuonea huruma huyo zubeda anaujauzito na sio wako aliupata mwanzoni kabla hajawa na wewe, nakuonea huruma yeye yupo mwaka wa kwanza wewe mwaka wa tatu nimeona sio vyema ukaangaika badae na damu za watu wengine"
"Candy unayosema niyakweli"
"Ndio Musa kwani ameisha wai kukwambia anaujauzito, na kilichosababisha aumwe tumbo alijaribu kuuchomoa hiyo mimba ikakataa kutoka"
"Sawa nitafanya uchunguzi"
Nilipotoka chuo nikakuta Musa ameisha panga nguo zangu na kila kitu, ile nafika kumuwao, akanisukuma kule, "ulizani sitagundua ehh, hivi unajifanya mwanamke mwema, mpelekee mwenye hiyo mimba uchafu wako, yaani mimi nimekuvumilia sana humu, nakusafisha hadi uke mauchafu ya ndani kama ukoko, kumbe ulijaribu kutoa mimba, simlisema umeanguka karamu ikakuchoma uke"
Nilikuwa nalia nikapiga magoti, "nisamehe Musa nilijaribu kutoa ili tuishi kwa amani wawili maana nakupenda, kupata mimba sio kwamba kuna kitu kinabadilika mwilini mwangu usinifukuze nakuomba"
Nilitolewa kama Mbwa, na kuna baadhi ya vyombo nilikuwa nikipata hela nanunua naweka ndani lakini sikutoka na kitu.
Niliamua kurudi hostel, "hahahahaah, mlinikimbia nikiwa naumwa leo hii mmerudi eh tatizo nini" alisema Candy sikujibu chochote maana nilisononeka sana hiyo siku.
Siku ya mtihani ilipofika, mimi sijasoma candy hajasoma na Emilia pia, ndipo candy akajiandika majibu mapajani ili aibie, emilia akaingia na simu amepiga picha notice aibie pia na ukikamatwa tu unafukuzwa chuo
UsikoseMtihani ulivyo anza candy akabinua sketi ili aweze kuangalia pointi kwenye mapaja yake aweze kuibia mtihani, kwa bahati mbaya hakukuta hata jibu moja kwa majibu yote aliyo kuwa ameyaandika,
akaanza kuangaika hajui aandike nini maana ukifeli masomo mengi unafukuzwa chuo.
kibaya zaidi Emilia alikuwa amesahau kupunguza sauti ya simu ghafla sms ikaingia simu ikatoa sauti mwalimu msimamizi akachukia, "umesahau kama hurusiwi kuingia na simu kwenye chumba cha mtihani"
Emilia akafukuzwa nje, kibaya zaidi alikuwa bado ajasaini na usipofanya mtihani unafukuzwa, akajiwai haraka kwa mwalimu mwenye somo kibaya zaidi alikuwa ni mwalimu yuleyule alie tembea na Candy hivyo Emilia alikuwa ameisha jua unyonge wake ni kuachia uke na mambo yanaenda sawa wakati huo huyo mwalimu alikuwa anafanya hivyo maana alikuwa muathirika na mpaka sasa hivi uwa nahisi yeye ndio alimuambukiza candy, Emilia alimuelezea tatizo lake
"Mwalimu nisaidie naogopa kufukuzwa"
"Ehh kwasababu umewai mapema, lazima nijue nakusaidia vipi mrembo"
"Asante ticha"
"Lakini usimwambie yule rafiki yako unaependa kutembea nae anaitwa candy yule ni mpuuzi sana"
"Ticha siwezi kusema chochote, watu ni wambea"
"Sawa saa 11 nitakupigia uje kwangu ila naomba mtu asijue"
Emilia akakubali, hakusema chochote akamuaga bwana yake anaekaa nae kwamba anaenda kwao kusalimia kwamba mama ake anaumwa kisha akaenda mpaka nyumbani kwa yule mwalimu, walifanya sana tendo, waliburudishana mno, ilipofika usiku Emilia akaambiwa alale hakukataa kibaya ni kwamba yule mwalimu alipo sinzia, Emilia kwa akili za kitoto kwamba ametembea na mwalimu wa chuo akaanza kujipiga picha wakiwa wako uchi kitandani.
Siku moja akiwa darasani kuna mtu akamuomba simu ampigie mama ake baada ya mazungumzo akaanza kuangalia picha za emilia mara ghafla akaona picha za uchi Emilia pamoja na yule mwalimu kwa akili za kitoto yule mtu akazituma kwenye group la WhatsApp la darasani, wanachuo wote darasani wakaona taarifa ikamfikia mwalimu kwamba Emilia ametuma picha wanafanya mapenzi yeye na mwalimu wake kibaya zaidi sura ileile uume unaonekana tena bonge la uume, emilia nae matiti waziwazi uke pia, mwalimu akaogopa, uongozi wa chuo ukawaita Emilia pamoja na mwalimu.Emilia pamoja na yule mwalimu wakaingizwa kwenye chumba ambacho kipo spesho kwa ajili ya matatizo na kesi mbalimbali, wale wakuu wa chuo wenye elimu ya kutosha wakaanza kumuoji yule mwalimu.
"Mwalimu Frank David hivi tumekuajili hapa kutuharibia wanafunzi wetu, kwanini unatudharirisha, hivi hujui dunia imekuwa kijiji hiyo picha yako ulio lala na huyo mwanafunzi wako ikifika kwa waziri wa elimu, ujui utatuweka matatani" "Ni shetani tu alinipitia, vishawishi tumeumbiwa binadamu nakili kosa naomba wakuu wangu mnisamehe"
"Binti ilikuwaje mpaka ukaamua kutuma hii picha kwenye group la WhatsApp darasani tena kwa namba yako na nini hasa kilichokufanya upige hii picha na kwanini umetembea na mwalimu wako"
Emilia anasema aliulizwa maswali hayo dabodabo
akaanza kutetemeka, akashindwa hata kuwadanganya.
"Ni mwalimu aliniambia niende kwake nikaenda, nikajisahau tu nikajikuta napiga hizi picha"
"Kwanini upige picha bila idhini ya mwenzako tena uchi, ebu jibu kwanini"
"Nilitaka niwe na kumbukumbu"
"Ehhh umetokajetokaje kwanzia shule ya msingi, secondary ukafika chuo maana unaonesha kabisa hauna akili, wazazi wako wakijua unacho kifanya unahisi watajisikiaje"
"Msiniseme baba ataniua"
"Yaani mzazi anatoa pesa usome wewe unafanya ujinga, nahisi umelaaniwa, hivi unahisi wazazi wako na ukoo mzima hawataona uo uke wako uliojipiga picha mwenyewe tena unacheka na unatoatoa ulimi wako"
Kumbe yule mwalimu alikuwa anamke wake ambae ni mwalimu wa hapohapo chuo lakini yeye alikuwa ameenda Marekani kuendeleza elimu yake ili vyeo vipande.
Mwalimu na emilia wakaachiwa huru kwanza
Ili warudi kwenye kesi baada ya wiki moja.
Ile mwalimu amerudi ofisini, wakati anaangali simu kwenye whatsapp akakuta sms kutoka kwa mke wake ametuma ile picha ameweka emoji ya kuumia😢 kisha akaandika "mume wangu wa ndoa unanisaliti hivi"
Mwalimu alivyo mjinga elimu haikumsaidia akatoka chini akanunua dawa za panado nyingi kama vidonge 30 akaachia ofisi wazi akavimeza vyote na kufariki hapohapo.
Kwa bahati mbaya Emilia akajulikana kwa baba ake kuhusu ile picha anatembea ya utupu, yule Malik akapata taarifa akamfukuza Emilia atoke pale kwake hamtaki tena na akasema ampi hata nguo zake wala notisi hata chupiEmilia aliamua kurudi hostel tukakutana wote watatu kama mwanzo, Emilia akawa anaona aibu kumuangalia Candy ila akajikuta anamsalimia
"Candy mambo"
"Bila hata haya umeenda kutembea na bwana nilie tembea nae sasa kwanini umetembea na mwalimu, ujui huyo ni mtu wa pili unawasabishia Vifo, ilikuwaga mjomba wako sahivi mwalimu ehh nyota yako itakuwa ya mende"
Nilichukia nikamwambia "Candy usimseme sana Emilia mbona alikufumania na bwana yake tena mkiwa watupu kabisa"
"Hayakuhusu zubeda chukua taimu yako"
Urafiki ulikuwa wa kinafiki mno.
Sikumoja baba alinipigia simu,
"Binti yangu tangu nipo hapa hospitali hujawai kuja kumuona babu yako tatizo nini Zubeda, sio vizuri kwakweli"
"Hapana baba mitihani ndio imetubana nikimaliza nitakuja"
Kiukweli nilikuwa nimeisha anza kubadilika muonekano hivyo niliogopa baba angegundua moja kwa moja kwamba mimi ni mjamzito.
Siku moja tupo hostel tukiwa tunazungumza Emilia akapigiwa simu kwamba mama ake amepata mshtuko na amefariki, hivyo Emilia anahitajika nyumbani kwa ajili ya msiba, Emilia alilia, alisononeka mpaka tukaanza kulia wote mule ndani,
"Ni mikosi gani hii kila siku, kwanini mimi tu"
Sasa kumbe mama ake alipoona zile picha za utupu za binti yake ndio kikawa chanzo cha kupata mshtuko na kupelekea kupoteza maisha yake, hawakutaka kumwambia Emilia kwanza ila tulipofika msibani karibia watu wote walikuwa wabamsonta Emilia,
"Huyo ndio binti mwenyewe alie sababisha kifo cha mama ake"
Kila mtu na lake, kila mtu ananyoosha kidole chake, "amepelekwa kusoma yeye anatembea na walimu wake, watu wazima tu yaani huyo binti ni tatizo"
Emilia alipoanza kugundua kwamba sababu ni yeye na hakuna anae mgombeza kila mtu kwenye familia yao kakaa kimya, Emilia akaamua kufanya maamuzi yake mwenyewe kimyakimya.
Msiba ulimalizika salama tu, ile tunarudi chuo Emilia akapigiwa simu ya kufata barua ofisini kwamba amefukuzwa chuo zikatokea tetesi kwamba ndugu wa marehemu yule mwalimu wanataka kulipiza kisasi kumuondoa emilia duniani kwa kusababisha kifo cha ndugu yao pamoja na kumpa fedhea ndugu yao, Emilia kurudi kwao akaona itakuwa shida ndipo akaanza tena maisha ya starehe disco
sasa siku moja akiwa disco baba mdogo wake akamuona.Kumbe kipindi baba mdogo wake Emilia amemuona binti sehemu za starehe wakati wa shule, hakujua kama binti yao kaisha fukuzwa akaenda mpaka kwa Emilia huku mziki Unaimba watu ni kuburudika.
"Unafanya nini humu, siunatakiwa uwe chuo sahivi"
Emilia kutokana na matatizo yake, alianza kuhisi kama hana thamani dunia hii, hakutaka hata kumjibu chochote bamdogo wake akatoka nje bila kuongea, kumbe ndugu wa marehemu Frank david yaani mwalimu walikuwa wanamvizia Emilia siku hiyohiyo ili apelekwe mpaka kwa wausika aweze kuionja Mauti.
Ile anatoka tu, akaanza kuita tax ili aweze kuama kiwanja akaburudike club nyingine, akaitwa na dada mmoja hivi pembeni.
"Unaelekea kiwanja kipi twende wote mimi huku mgeni ila nina gari hapo kama unafahamu sehemu nzuri yoyote twende zetu"
Emilia alikubari wakaingia ndani ya gari.
Mbele kulikuwa na mwanaume mmoja viti vya nyuma mdada mmoja wanaume wawili, hivyo walikuwa majambazi wanne, hapo bado Emilia anajiongelesha hajui kama kaisha tekwa.
Kilicho anza kumshtua kama alivyo toa ushuhuda ni baada ya kuona lile gari linaelekea sehemu ambazo sio za viwanja na wanauacha mji wa Dar es salaam, kuelekea Bagamoyo.
"Sister mbona mnaenda mbali na mji"
Hakuna alie mjibu huku gari lipo mwendo kas, kiasi kwamba ni lazima upate wasiwasi.
"Dada mbona kimya"
Ndipo Machale yakaanza kumcheza kwamba ao sio watu wazuri, akapata wazo la kuwatoroka, "dada naomba usimamishe gari nimebanwa sana na mkojo dia"
Emilia alisikia sauti nzito kutoka Mbele,
"Mpuuzi wewe kaa kimya"
Baada ya kusikia yale maneno akajua fika kwamba tayari na yeye ndio mwisho wa maisha yake Mungu aliyo mpangia.
Walipo karibia kufika hiyo ni kama mida ya saa 9 usiku, Emilia alivalishwa maski ili asiweze kupata ramani kabisa ya kujua amefikishwaje eneo usika.
Emilia anasema hakuweza kuona chochote, wale wanaume walimshika kwanguvu akapigwa ngumi nyingi na makofi tu ili aweze kupunguza kelele maana alikuwa anapiga yowe akihisi uhenda kuna msamalia mwema yoyote anaweza kumsikia na kumsaidia,
Alikuja baba ake mzazi na yule mwalimu aliefariki.
"Unaitwa nani binti"
"emilia"
"Kwanini umesababisha kifo cha kijana wangu na ninae huyohuyo mmoja tu niliepewa na Mungu,
kwanini?"
Usikose 27"Naomba unisamehe baba angu sikutegemea kama yangefika huku, kuna mtu alichukua simu yangu akarusha zile picha mtandaoni, mpaka sasa nimefukuzwa chuo na mama angu amefariki baada ya kuziona zile picha za utupu"
Alisema Emilia akiwa analia, akitamani kusamehewa asipoteze maisha yake.
Yule baba kwa hasira akasema, "siwezi kumuacha huru, binti amenitia aibu yaani mpaka natamani kumnyonga,
vijana mpo watatu naombeni mumfanyie huyu binti roho mbaya nikiwa natazama, mbake mbele na nyuma ili ajue uchungu na apate akili
bado hukumu yake ikiwa njiani, maana mke wa marehemu ndio anatoka marekani kuja huku.
Emilia kama alivyo kuwa ametoa ushuhuda anasema alikuwa amevaa kinguo kifupi na wale wanaume walikuwa wanamsikiliza sana yule baba wakati wanataka kumvua, Emilia akajiongeza kiakili hapohapo, "msinifanyie hivyo ninakiumbe cha mtoto wako tumboni mwangu mnaweza kukiharibu"
"Muacheni huyo"
Alisema baba wa marehemu, "ni kweli unaujauzito wa kijana wangu," aliuliza akiwa anatabasamu maana hakuwa na mjukuu na alikuwa na kijana huyo mmoja na kibaya zaidi akafariki
"Aliniacha na ujauzito, alikuwa anampango wa kunitambulisha kwako ila bahati mbaya kifo kikatokea"
Yule baba akamuomba Emilia aishi pale nyumbani mpaka siku ya kujifungua alifurahi sana japo aone kizazi chake kinavyo kuwa, alimpa Emilia uhuru, hata mke wa marehemu alipofika akatulizwa hasira mpaka akarudi.
Ama kweli kwenye maisha binadamu wanapitia mengi, na ukiuliza mmojammoja changamoto anazopitia yako utayaona madogo.
Emilia aliishi kwa raha, yaani mavazi, vyakula, hela na makazi yalimfanya Emilia akapapenda pale wakati huo ujauzito hana na baba mtu anasubiria kiumbe kizaliwe.
Kwa upande wetu matokeo yakatoka Candy akafeli masomo yote sita, mimi nikafail manne nikafauru mawili huku tunasubiria muhura wa pili, maana tulipata likizo ya mwezi mmoja,
"Zubeda mbona nasikia vyuo vimefungwa, njoo nyumbani utusalimie babu yako alipona sisi tupo kijijini, au umenogewa na mji hata nyumbani hupataki tena"
Alisema baba huku nikiwaza namdanganya vipi, nilishindwa kuvumilia ikanibidi niende tu, "Zubeda tangu umekuja hujawai kunionesha maendeleo yako ya chuo, mbona zamani ulikuwa ukitoka shule unanipa matokeo yako "Niliogopa kumuonesha baba angu matokeo yangu nikawa namchengachenga, sikumoja mama aliniita "Zubeda binti yangu naona mabadiliko sana kwenye mwili wako, nimekuzaa mimi binti yangu niambie unaujauzito?"
"Hapana mama niko sawa sina ujauzito ni mabadiliko tu hali ya hewa unajua kule Dar es salaam kuna joto sana ila huku baridi ndio maana"
"Ukweli unamuweka mtu huru zubeda kuwa muwazi"
Nilikataa katakata mama akaniacha tu, kabla chuo hakijafunguliwa nikadanganya nyumbani kwamba sisi tumefungua mapema, maana nilikuwa nachukizwa na kazi za nyumbani kuamka kwenda shamba kupika kwa kuni bado nafua mimi hata kutoka kuzunguka inakuwa ngumu na nywere nilizotoka nazo mjini zikachoka, lakini nikiwa chuo napata mda wa kujivinjari.
Nilipoenda hostel nikajikuta nipo mwenyewe sikuruhusiwa kuishi pale na nyumbani sikupewa hela ya kutosha kwasababu baba alikuwa ametoka kuuguza hivyo hakuwa na pesa kabisa.
Ndipo nikaenda mpaka kwa musa kuweza kumuomba kama anaweza kuniruhusu kukaa kwake mpaka tufungue kabisa.
Nilipogonga mlango wake akafungua mdada.
"Habari dada"
"Salama za kwako, naitwa Zubeda namuulizia, Musa"
"Ohhh pole dada Musa aliama hapa nikachukua chumba"
"Dada naomba unistili leo tu niweze kulala hapa kwako"
"Kwani wewe unatokea wapi"
"Mimi ni mwanafunzi wa chuo"
"Msaada nitakao kupa labda uweke mizigo yako humu ukipata mda utakuja kuifata"
Nilikubali nikaiacha hapo kisha nikampigia candy simu, akanikaribisha kwao.
Kilichonishangaza candy alikuwa akiamka asubuhi aoshi hata vyombo, mama ake anawambia mabint wakazi wasimpe kazi yoyote, hata nilivyo jaribu kutaka kusaidia kazi yoyote nilizuiwa kwamba wafanyakazi wapo ni kazi yao maana wanalipwa, nikakumbuka jinsi ambavyo nilikuwa nalima nyumbani mpaka mikono ikaota sugu niliumia sana.
Emilia alianza kuhisi atagundulika hana mimba akapata wazo la kutoroka nje ya nyumba atembee na mtu yoyote tu ili ajifanye kweli mimba alikuwa nayo, siku ya kwanza hakufanikiwa kutoka kabisa, kiukweli alikuwa anabanwa mule ndani sana.
Yule babu hakutaka kabisa atoke pale maana alihisi atatoroka,
hata laini yake ya simu alipokolewa akapewa mpya,
hivyo ndugu na wazazi wasinge mpata hewani,
Emilia akaanza kuwaza😢Emilia alianza kuona kwamba anaweza kuumbuka na kila alipojaribu kuomba ruhusa ya kutoka hakuruhusiwa kutoka mwenyewe
alikuwa anapelekwa na dereva wa yule mzee, uvumilivu ulimshinda akaona hapa anaweza kupoteza maisha akigundulika hana ujauzito, akapata wazo la kwamba adanganye kuwa mimba imeharibika"Naomba unisamehe baba angu sikutegemea kama yangefika huku, kuna mtu alichukua simu yangu akarusha zile picha mtandaoni, mpaka sasa nimefukuzwa chuo na mama angu amefariki baada ya kuziona zile picha za utupu"
Alisema Emilia akiwa analia, akitamani kusamehewa asipoteze maisha yake.
Yule baba kwa hasira akasema, "siwezi kumuacha huru, binti amenitia aibu yaani mpaka natamani kumnyonga,
vijana mpo watatu naombeni mumfanyie huyu binti roho mbaya nikiwa natazama, mbake mbele na nyuma ili ajue uchungu na apate akili
bado hukumu yake ikiwa njiani, maana mke wa marehemu ndio anatoka marekani kuja huku.
Emilia kama alivyo kuwa ametoa ushuhuda anasema alikuwa amevaa kinguo kifupi na wale wanaume walikuwa wanamsikiliza sana yule baba wakati wanataka kumvua, Emilia akajiongeza kiakili hapohapo, "msinifanyie hivyo ninakiumbe cha mtoto wako tumboni mwangu mnaweza kukiharibu"
"Muacheni huyo"
Alisema baba wa marehemu, "ni kweli unaujauzito wa kijana wangu," aliuliza akiwa anatabasamu maana hakuwa na mjukuu na alikuwa na kijana huyo mmoja na kibaya zaidi akafariki
"Aliniacha na ujauzito, alikuwa anampango wa kunitambulisha kwako ila bahati mbaya kifo kikatokea"
Yule baba akamuomba Emilia aishi pale nyumbani mpaka siku ya kujifungua alifurahi sana japo aone kizazi chake kinavyo kuwa, alimpa Emilia uhuru, hata mke wa marehemu alipofika akatulizwa hasira mpaka akarudi.
Ama kweli kwenye maisha binadamu wanapitia mengi, na ukiuliza mmojammoja changamoto anazopitia yako utayaona madogo.
Emilia aliishi kwa raha, yaani mavazi, vyakula, hela na makazi yalimfanya Emilia akapapenda pale wakati huo ujauzito hana na baba mtu anasubiria kiumbe kizaliwe.
Kwa upande wetu matokeo yakatoka Candy akafeli masomo yote sita, mimi nikafail manne nikafauru mawili huku tunasubiria muhura wa pili, maana tulipata likizo ya mwezi mmoja,
"Zubeda mbona nasikia vyuo vimefungwa, njoo nyumbani utusalimie babu yako alipona sisi tupo kijijini, au umenogewa na mji hata nyumbani hupataki tena"
Alisema baba huku nikiwaza namdanganya vipi, nilishindwa kuvumilia ikanibidi niende tu, "Zubeda tangu umekuja hujawai kunionesha maendeleo yako ya chuo, mbona zamani ulikuwa ukitoka shule unanipa matokeo yako "Niliogopa kumuonesha baba angu matokeo yangu nikawa namchengachenga, sikumoja mama aliniita "Zubeda binti yangu naona mabadiliko sana kwenye mwili wako, nimekuzaa mimi binti yangu niambie unaujauzito?"
"Hapana mama niko sawa sina ujauzito ni mabadiliko tu hali ya hewa unajua kule Dar es salaam kuna joto sana ila huku baridi ndio maana"
"Ukweli unamuweka mtu huru zubeda kuwa muwazi"
Nilikataa katakata mama akaniacha tu, kabla chuo hakijafunguliwa nikadanganya nyumbani kwamba sisi tumefungua mapema, maana nilikuwa nachukizwa na kazi za nyumbani kuamka kwenda shamba kupika kwa kuni bado nafua mimi hata kutoka kuzunguka inakuwa ngumu na nywere nilizotoka nazo mjini zikachoka, lakini nikiwa chuo napata mda wa kujivinjari.
Nilipoenda hostel nikajikuta nipo mwenyewe sikuruhusiwa kuishi pale na nyumbani sikupewa hela ya kutosha kwasababu baba alikuwa ametoka kuuguza hivyo hakuwa na pesa kabisa.
Ndipo nikaenda mpaka kwa musa kuweza kumuomba kama anaweza kuniruhusu kukaa kwake mpaka tufungue kabisa.
Nilipogonga mlango wake akafungua mdada.
"Habari dada"
"Salama za kwako, naitwa Zubeda namuulizia, Musa"
"Ohhh pole dada Musa aliama hapa nikachukua chumba"
"Dada naomba unistili leo tu niweze kulala hapa kwako"
"Kwani wewe unatokea wapi"
"Mimi ni mwanafunzi wa chuo"
"Msaada nitakao kupa labda uweke mizigo yako humu ukipata mda utakuja kuifata"
Nilikubali nikaiacha hapo kisha nikampigia candy simu, akanikaribisha kwao.
Kilichonishangaza candy alikuwa akiamka asubuhi aoshi hata vyombo, mama ake anawambia mabint wakazi wasimpe kazi yoyote, hata nilivyo jaribu kutaka kusaidia kazi yoyote nilizuiwa kwamba wafanyakazi wapo ni kazi yao maana wanalipwa, nikakumbuka jinsi ambavyo nilikuwa nalima nyumbani mpaka mikono ikaota sugu niliumia sana.
Emilia alianza kuhisi atagundulika hana mimba akapata wazo la kutoroka nje ya nyumba atembee na mtu yoyote tu ili ajifanye kweli mimba alikuwa nayo, siku ya kwanza hakufanikiwa kutoka kabisa, kiukweli alikuwa anabanwa mule ndani sana.
Yule babu hakutaka kabisa atoke pale maana alihisi atatoroka,
hata laini yake ya simu alipokolewa akapewa mpya,
hivyo ndugu na wazazi wasinge mpata hewani,
Emilia akaanza kuwaza😢Emilia alianza kuona kwamba anaweza kuumbuka na kila alipojaribu kuomba ruhusa ya kutoka hakuruhusiwa kutoka mwenyewe
alikuwa anapelekwa na dereva wa yule mzee, uvumilivu ulimshinda akaona hapa anaweza kupoteza maisha akigundulika hana ujauzito, akapata wazo la kwamba adanganye kuwa mimba imeharibika na amevuja damu nyingi kutoka ukeni ila akaona kwamba yule baba anaweza kupoteza furaha kwa kukosa mjukuu hivyo akamuua kulipiza kisasi.
Kutokana na maelezo ya Emilia kuna siku ambayo alijua fika kwamba akitembea na mwanaume tu lazima apate ujauzito.
Alijifanya anaumwa mida ya saa nne usiku, kwasababu yule babu alikuwa hataki Emilia ateseke ili ajifungue salama ikabidi amwambie dereva wake ampeleke hospitali Emilia akaitumia hiyo kama furusa wakati wapo sehemu ambayo haikuwa na wapita njia wengi Emilia akatumia ujanja akasema
"Kaka jefu simamisha gari"
"Nisimamishe gari wakati unaumwa inabidi nikuwaishe hospitali"
"Mimi siumwi simamisha nikwambia kitu"
Dereva akasimamisha, Emilia alikuwa amekaa kiti cha nyuma, akamwambia yule dereva
"Kaka jefu njoo tukae wote kwa huku nyuma, nataka unisaidie kitu"
"Nikitu gani hicho mbona sikuelewielewi"
Emilia alikuwa mjanja akamwambia dereva awashe taa ya gari, na shida kubwa Emilia alikuwa anataka tu mbegu za jefu ili yule babu ajue ukweli binti anamimba ya kijana wake wakati huo baba na ndugu wa Emilia wameisha mtafuta kila mahari binti hapatikani na walichoka zaidi walipo ambiwa amefukuzwa chuo.
Dereva alikubali kukaa kwa nyuma huku taa ndani ya gari imewaka, Emilia akafunua sketi yake ili dereva aone mapaja na amuingize katika kishawishi cha kufanya tendo,
"Emilia nahisi boss amekutuma kunipima imani ehh"
"Hapana jefu nipo seriuz ninahamu kweli yaani nabanwa sana pale na mimi ni binadamu nina hamu nitibu, nisaidie jefu"
Jefu akazima taa, ndipo wakaanza kuandaana ili wafanye tendo, jefu alikuwa ameoa na mida hiyo mara nyingi alikuwa anapigiwa simu na mke wake maana walikuwa wanakaa mbali, kipindi wanataka kutenda tendo, mke wake akapiga simu, jamaa sababu alikuwa amenogewa akapotezea simu, mara kidogo tena boss wake akapiga jefu akapokea "Hallo jefu mbona mnachelewa kurudi au Emilia amelazwa, msije mkapata tatizo huko""Emilia boss anasema tuwai kurudi naomba tusifanye leo tutapanga siku nyingine"
"Hapana jefu umeisha niingiza dunia nyingine, nitateseka fanya japo kimoja tu cha haraka"
Emilia aliongea hivyo ili atimize lengo lake kuzipata mbegu tu kusudi awe free kimawazo na yule mzee aendelee kumpunguzia mawazo kichwani maana hata chuo alikuwa kafukuzwa hivyo alikuwa na msongo wa mawazo.
Wakati huo mimi na candy ni watu wa kujiachia, mama ake anatuachia hela za kusuka na kupendeza kila siku.
Kwa bahati nzuri Jefu alijitahidi kufanya lile tendo kwa haraka na kwanguvu ili awai kumaliza bila kujua kama mchubuano unaweza kutokea na kumbuka candy alisambaza virusi vya ukimwi kwa bwana yake Emilia aitwae Malik ili na Emilia apate virusi pia.
Yule kaka alivyo bahatika kuzimwaga zile mbegu wakaenda mpaka nyumbani, walipo ingia sebreni wakamkuta yule baba, "dereva mbona mmchelewa sana, vitambulisho vya hospitali viko wapi"
Wakati huo kumbe yule baba ameisha kunywa pombe hivyo unaujasiri mkubwa, kibaya zaidi ujue ni rahisi kugundua kama huyu mwanamke ametoka kufanya mapenzi kama ukimtazama machoni kwa mda mfupi akiwa ametoka kufanya,
yule babu akahisi kitu, alipo mtazama Emilia machoni,
kibaya zaidi yule dereva sababu alikuwa anafanya mapenzi kwenye gari kwa haraka akasahau kufunga zipu ili awai nyumbani.
"Dereva nenda kalale tutazungumza kesho asubuhi maana siwaelewi yaani hata dawa hamna, listi za hospital nazo sizioni sijaelewa mpango wenu na Emilia"
"Sawa boss, amekutwa yupo sawa"
"Wewe kalale hata kesho tutaenda nipaone hapo hospitali niulizie kama mlifika"
Kutokana na maelezo ya Emilia yule mzee alikuwa hataki ujinga alimuingiza chumbani kwamba anataka kumkagua Emilia sehemu zake nyeti kama ameshiriki tendo ili aweze kumgombeza kwamba anamuharibia mjukuu wake, kipindi wapo chumbani wawili,
"Sijapenda tabia yako kabisa, kumbuka nakupa kila kitu leo najua lazima mmefanya ujinga"
"Hapana kweli sijafanya chochote baba mkwe niamini kweli"
"Siwezi kukuamini kirahisi hivyo, itabidi uvue nikukague"
"Baba mkwe mbona haya manyanyaso jamani, sio vizuri unachofanya alafu unanuka pombe"
Emilia alivuliwa mwili mzima akabaki kama alivyo zaliwa wakiwa wawili,
"Tanua miguu"
"Sitaki"Emilia alijitahidi sana kubana mapaja lakini yule baba akawa anatumia nguvu nyingi ili kumpanua aweze kumnusa sehemu nyeti.
"Emilia nimesema tanua pamaja, tutakosana Emi"
Alisema yule baba mkwe wake, "baba mkwe mbona unanikosea jamani au sababu nipo kwako ndio unidhalilishe hivyo"
Kutokana na maelezo ya Emilia akili ya haraka ikamuingia kwamba ajirahisishe ili wafanye mapenzi kusudi hata asipo pata mimba baba mkwe awe tayari amepagawa na utamu wake.
"Baba mkwe niache natanua polepole"
Alisema Emilia huku akiwa anaregeza macho.
Emilia alitanua miguu, yule baba uume wake ukasimama, Emilia akacheka huku anamvua zipu, yule baba kwa akili mbovu na zile pombe akajikuta analala kifuani mwa Emilia, wakapeana kisi kama zote wakajikuta wanafanya tendo na Emilia alionesha ufundi wake wote
"Emilia umenipa raha sana, naomba iwe siri yetu mtu yoyote asijue nitakupenda daima mpenzi wangu"
Aliongea yule baba bila aibu, "sawa mpenzi wangu, nimependa penzi lako pia njoo nikukiss" alisema Emilia na kweli wakaanza kupeana denda kisha wakaendeleza mechi.
Sasa basi yule baba akawa kama amepagawa na penzi akaanza kumuhudumia kama mke wake wa ndoa, Emilia alipewa gari lake la kutembelea, akaanza kujengewa nyumba pembeni ili ndugu wa yule mzee wasijue awe anaenda kimyakimya kulala nae.
Mimi na candy tulikuwa kama wajinga, maana candy alitoa wazo, "Zubeda dunia inatupita tumuombe mama hela tumdanganye tu, tukachole tatuu mapajani, nasikia mwanaume akiziona anapagawa, "Candy mimi naogopa ujue, baba akijua ataniua"
"Zubeda punguza ushamba mwingine"
"Haya candy nimekuelewa"
Tulichora tatuu mapajani
Sikumoja tupo disco mida ya usiku tumevaa vinguo vifupi ili tuoneshe tatuu zetu, mzungu mmoja akamuita candy, wakaanza kunywa pombe badae nikarudi mwenyewe nyumbani candy akalala nae, sasa sijui alimpa utamu gani yule mzungu akawa amempenda candy mpaka akawa anakuja nae nyumbani mama ake akamjua maisha ya candy yalikuwa mazuri, sasa yule mzungu Me Alex akawa anatakiwa kurudi kwao na akataka kwenda na candy lakini candy akatakiwa apime ukimwi kwanza kama yupo saaa ndio aruhusiwe kwenda Ulaya.
Kwa bahati nzuri Emilia akapata mimba "Hii mimba niya dereva au baba mkwe wangu" aliwaza sana."Candy binti yangu kama huyo mzungu amesema atakusomesha huko nje mimi naona bora uende tu, kwanini unaogopa kupima ukimwi au unao, mbona uko vizuri kapime ukamilishe swala zima la safari" alisema mama Candy akijua fika binti yake ni mzima wa afya.
Candy alikuwa ni mtu wa kuwaza maana alijua anamaambukizi tayari, akashindwa cha kufanya ndipo akashauliwa na mtu kwenda kufanya maombi kwenye makanisa ya warokole ili damu ya Yesu ipate kumponya.
Emilia alifanikiwa kupata sehemu yake ya kuishi maana kabla nyumba ijaisha akapangishiwa (apartment) sehemu tulivu ili baba mkwe aendelee kuburudika na mahaba motomoto.
Kwa kile kipindi baba mkwe wake akapata safari kurudi Kwao Mara kufatilia mambo yake ya kazi, ila akamchukua mtoto wa dada ake ambae alikuwa anamuita mjomba awe anakaa na Emilia wakati huo bado yule Mwita anasoma chuo cha udaktari, hivyo akawa anatokea nyumbani kwa emilia anaenda chuo, baba mkwe akawa anatuma pesa za matumizi mara kwa mara wasiteseke na alimuamini mwita maana walikuwa marafiki tukiachana na ujomba hivyo akajua fika awezi kutoboa siri zake.
Mwita alikuwa kijana mwenye muonekano mzuri tu Emilia akawa kama anajikuta anapata hisia za kimapenzi kwa Mwita.
Kutokana na alivyo simulia, "siku moja nipo chumbani, nikiwa nimevaa kanga moja tu, nilipiga kelele nikitaja jina la mwita, alipo ingia ndani nikamwambia kwamba kuna kama mjusi amepita juu ya maziwa yangu, naomba naomba unisaidie, wakati anajaribu kuinama uvunguni nikalegeza kanga alipo nitazama akisema mbona hamna mjusi nikajifanya nainama na mimi mgongo ukaonekana, mwita akataka kutoka, usitoke naogopa jamani siwezi kulala mwenyewe huku kanga ikiwa inadondoka polepole"
"Shangazi vaa"
Alisema mwita akiwa amefumba macho
"Unaogopa nini, mimi siwezi kulala mwenyewe"
Emilia kama alivyo simulia anasema alimkumbatia mwita na mwita alivyo na aibu akaomba wazime taa, bila hata kinga Emilia akawa anapata burudani kila siku mule ndani wakawa wanalala wote kama mke na mme wakati huo baba mkwe wake bado hajaja.
Candy aliendelea kufanya maombi ili aweze kupona haraka akasahau kwamba imani ndio yaponya na Mungu hapimwi kwa mizani eti ndani ya wiki moja akaenda hospitali kimyakimya kuona kama ameponaCandy alisikitika sana baada ya kufanyiwa maombi na kujikuta bado hajapona virusi vya ukimwi ndipo akaamua kukata tamaa, yule mzungu alikuwa ameisha nogewa na penzi la candy lakini ilibidi aondoke tu maana candy alianza kumchengachenga mara kwa mara ikawa kama anamchelewesha.
Kipindi Emilia anaendelea kulala chumba kimoja na Mwita yule kijana wa mwanaume alie mpangia nyumba, siku moja mwenye nyumba alie wapangishia kina Emilia alikuja pale nyumbani kwa bahati nzuri akawa kama amegundua kitu maana siku hiyo alikuwa amekuja kukagua nyumba yake, wakati yupo kwa nyuma kwa bahati mbaya jicho alina pazia akamuona mwita na Emilia kama wanapapasana akampiga simu baba mkwe wake Emilia
"Hallo Mzee huyu binti ulise sema ni mke wako, ni kweli ni mkeo"
"Ndio ni mke wangu"
"Na huyu uliesema ni mtoto wa dada ako atakuwa anakaa hapa ulimleta aishi au kumpa mke wako awe anafanya nae mapenzi"
Yule baba alichanganyikiwa, ndipo akaamua kuanzisha safari kuja kushuhudia kwa macho yake ili kuepukana na maneno ya kuambiwa, wakati huo chuo kimekaribia kufunguliwa ili mimi na candy turudi chuo kuendelea na masomo.
Yule baba alipofika kabla hajaenda kwa Emilia, akaenda kwanza bar ili mda usogee, alikunywa pombe nyingi kutokana na mawazo.
Mda uliposogea akaenda mpaka kwa Emilia wakati huo Emilia na mwita wapo ndani wawili wakiwa katika mavazi ya kulala, kwa bahati nzuri yule bwana alikuwa na ufunguo zake pia, alipofika akapitia kwa nyuma mlango wa jikoni, alipo ingia ndani akaenda moja kwa moja mpaka mlangoni wakati huo wamefunga mlango wa chumba na wanapiga stori za mapenzi.
Yule baba kitu kizuri kitanda chake kilikuwa kimeangaliana na kitasa cha mlango hivyo aliwatazama walivyo kuwa wamelala kimahaba, akagonga mlango kwanguvu, Emilia akashtuka, akaanza kulia akijua lazima afe tu, yule mwita akavaa haraka, yule baba akachukua kisu jikoni na kibaya zaidi amelewa akawa anatetemeka akifungua kile kitasa kwa hasira.
"Emilia mjomba ataniua leo, kosa na chanzo ni wewe, umenishawishi huu ujinga"
Emilia akaanza kutetemeka
"Emilia fungua mlango, nimesema fungua huu mlango malaya wewe"
Kwa bahati nzuri yule baba akabahatika kufungua mlango.
"Usiniue mme wangu, utamuua mjukuu wako tumboni""Nimesema bora ufe tu kufa na mjukuu unaejitetea nae, yaani miezi yote hiyo hata sijawai kuona dalili za mimba, bora ungekosea kingine fara wewe sio kunichanganya kimapenzi na mtoto wa dada angu mpuuzi mkubwa, lazima ufe kahaba mkubwa wewe, yaani nalipa kodi hapa nimekupenda na kukudekeza kipindi kirefu kumbe unatabia mbaya hivi Emilia"
"Nisamehe mume wangu ni shetani tu, sikutegemea, mimi mwenyewe sijui ni pepo gani hili mme wangu naomba unisamehe kipenzi changu jamani nitabadilika mume wangu niamini mkeo"
Alisema Emilia akijua lazima tabasamu lake litamchanganya yule baba.
"Na wewe Mwita mbona nimekuamini miaka mingi leo hii kijana wangu, umetembea na shangazi yako, yaani kweli unanikosea hivi"
"Naomba unisamehe anko"
"Taila wewe, njoo hapa mjinga wewe, vua mkanda mshenzi wewe"
Kama alivyo tueleza Emilia yule kijana alivua mkanda ili mjomba wake aweze kumchapa nao kama adhabu ndogo tu, akaanza kumchapa akiwa amesimama, kibaya ni kwamba wakati mwita anachapwa akawa kama anakwepa ile mikanda, wakati huo Emilia kavaa kichupi chake cha kulalia yaani paja lote nje linavutia kwelikweli, anamuomba msamaha na mzee ameisha mpenda Emilia anaona kama yeye hana makosa, "wanaume kuweni makini"
Wakati Mwita anachapwa akasema, "sasa anko unanipiga hivyo, unaona mwanamke ndio bora sana, unamthamini huyu dada kuliko mimi, bado mimi nasoma sina kazi sina hela kama sio huyu kunitaka kwa lazima unazani ningekukosea, sasa anko mimi nimemshawishi Emilia kwa kitu gani wakati hata pesa unamtumiaga yeye ndio ananipa kidogo ya matumizi, mimi usinipige bhana niache niondoke anko" aliongea yule Mwita kwa jaziba baada ya kuona Emilia aguswi na ndio alie mshawishi.
Kibaya ni kwamba mjomba wake akawa anaendelea kumchapa na bora angrmchapa na mkanda tu akawa anamchapa na kibanio cha mkanda na nichachuma hivyo mwita akawa anasikia maumivu, ndipo akapata wazo la kumkaba mjomba wake Shingo mjomba wake akamtoa mikono, akampiga teke mwita, mwita akainama lile teke likampiga Emilia akawa amedondoka chini, anko mwita akaona atazidiwa na kwakuwa alikuwa amelewa akajua lazima mwita atamzidi
kwa akili za pombe bahati mbaya baba wawatu akamchoma mwita kisu shingoni ndipo akadondoka na kupoteza maisha.Emilia alipo tazama yule baba anamchoma kisu mwita na alipo ona damu inachuruzika kama ya kuku alie chinjwa na kwa hali ya ujauzito aliokuwa nao wa yule dereva wa bwana yake, Emilia alipoteza akili akatoka akiwa na kichupi cha kulalia akakimbia nje akiwa anapiga kelele ovyo ndipo akawa kichaa wa mtaani wakati huo wazazi wake Hawana taarifa yoyote, yule bwana alie muua mtoto wa dada ake akawa kama amepagawa maana hakukusudia kumuua mwita akawa kama anatetemeka mwenyewe jasho kama lote na akajua hiyo kesi hatoiweza polisi, ndipo akaamua kufunga kitenge cha Emilia kwa juu na kujininginiza akawa na yeye amefariki kwa kujinyonga mwenyewe.
Miili ya marehemu ikawa imo mule ndani bila mtu yeyote kujua na ndio maana inashauliwa angalau kuwa na watu wachache nyumbani kwako hata japo pangisha wapangaji wachache, maana mwita na mjomba wake walikaa mule ndani nzi zikajaa kukawa kuna harufu mbaya ndani, lakini acheni Mungu aitwe Mungu daima, kuna watoto walikuwa wanacheza mpira kwa bahati mbaya ukadondokea kwa Emilia walipo enda wakakuta harufu mbaya na damu kama zimeganda kwenye mlango na ngazi za pale mlangoni watoto wakakimbia kuita watu wazima ndio ile miili ya marehemu Mwita na mjomba wake ikatolewa na kufanyiwa utaratibu wa kuzikwa haraka maana sura zilikuwa zinatisha mno.
Ndugu wakaanza kujua siri ya kwanini walifia mule ndani maana walisoma sms na kuangalia picha za Emilia ukutani na nguo zake pia. Wakamfungulia kesi ya mauaji bila kujua Emilia ameisha kuwa chizi anazunguka ovyo na akiwa na ule ujauzito wa dereva, siku moja wapelelezi wakamkamata Emilia lakini kwenye kumpima wakakuta ni chizi na mjamzito hivyo hakuwa na kesi sababu ya ule utaila wakamuachia tu.
Maisha yaliendelea tukiwa chuo, Candy alipata bahati kubwa, ambayo kila mtu alimshauri asiikatae, alimpata mkuu wa maji dawasco mwenye pesa, akampenda candy aishi nae kabisa, kwa upendo wa haraka haraka bila hata kupima afya wakafunga ndoa na Candy alikubali kabisa kuolewa huku anasoma na yule mwanaume akalidhia kumsomesha, waliishi na candy bila kujua kama ni muathirika na kibaya zaidi kumbe yule mzungu alimuacha candy na ujauzito lakini mwanaume akajua ujauzito ni wake kumbe ni wa mzungu.maisha ya Candy yalikuwa safi hata tulipo kuwa kwenye (discussions) tunajisomea alikuwa akiwanunulia watu chakula cha mchana maana pesa alikuwa nayo, anakuja amependeza mpaka kila mtu anamtamani.
Siku moja tupo nje maeneo ya chuo, tukamuona Emilia kwa mbali amechafuka na amevaa gauni chafu.
"Candy yule sini Emaisha ya Candy yalikuwa safi hata tulipo kuwa kwenye (discussions) tunajisomea alikuwa akiwanunulia watu chakula cha mchana maana pesa alikuwa nayo, anakuja amependeza mpaka kila mtu anamtamani.
Siku moja tupo nje maeneo ya chuo, tukamuona Emilia kwa mbali amechafuka na amevaa gauni chafu.
"Candy yule sini Emilia"
"Hapana zubeda, awezi kuwa hivyo"
"Twende candy tumuone"
Hatukuamini macho yetu, "mnaniangalia nini, njooni tuishi huku kwetu, mnataka furaha, njooni kwetu"
Aliongea hayo maneno Emilia tukajua kweli amechanganyikiwa, "Candy tunamsaidiaje huyu, mimi naona sio vizuri tukimuacha hapa"
"Ehhh Zubeda unaakili kweli, huyu mchafu hivi tunaenda nae wapi, usikii anavyo nuka, siwezi hata kumpeleka, mme wangu hapendi uchafu, hata akikanyaga mchanga kidogo chumbani anakasirika, sembuse amuone huyu nahisi nitaharibu ndoa"
"Lakini candy unajua siamini, kweli Emilia amekuwa hivi, siamini kabisa"
"Zubeda kumbuka alisababisha kifo cha mjomba wake na mwalimu pia, damu ya mtu aipotei bure, mimi nahisi hiyo ndio sababu"
Nilipata wazo la haraka nikachukua namba ya baba ake Emilia kwa candy.
"Hallo baba Emilia, nimemuona emilia wako, njoo umchukue yupo huku karibia na maeneo ya chuo"
Baba akae akuchukua dakika nyingi akaja mpaka pale,
"Amekuaje binti yangu mbona yupo kwenye hali hii, Emilia mama tatizo nini binti yangu"
Baba ake aliongea akitoka machozi huku akihisi mtoto ni mzima ila akashangaa kuona Emilia anacheka.
"Hahahaha, njoo tuishi huku ni pazuri, nyie binadamu njooni huku"
Mzee akajiongeza akajua akili zimeruka,
Baba ake akatuomba tumsaidie kumshika ili Emilia asikimbie, Mungu alisaidia baba ake akampeleka hospitali, lakini Emilia alikuwa hataki kupewa dawa, daktari akajitahidi mpaka wakamchoma sindano ya usingizi, ndipo Emilia akaingizwa wodi ya vichaa.
Candy alinishauri niende kuishi kwake nitoke pale hostel ili hata nikijifungua nisiweze kuteseka na mtoto pale hostel, siku moja bwana yake akatuachia hela ya maandalizi mazuri ya chakula kwa ajili ya mgeni wake, kweli hatukutaka kumuangusha
Tulipika vizuri, kweli jioni mgeni wake aliwasili,
ile naenda kuwakaribisha chakula nakuta mgeni ni Babu G, kijana alie nitoa bikra na kunipa ujauzito.Babu G alipo niona akanikonyeza nikae kimya maana kwanza nilishtuka na yeye pia alishangaa kuniona pale na kuna kipindi nilimuona chuo akiwa na mpenzi wake mwingine nikamwambia Babu G mbele ya Yule dada kwamba ninaujauzito wake hivyo alipo niona akatazama kwanza tumbo langu akakuta linazidi kuwa kubwa akajua kweli nina ujauzito wake, maana usichana wangu aliutoa yeye.
Sasa kibaya ni kwamba siku hiyo Babu G alikuwa amekuja kumtambulisha mchumba wake mpya mwenye ujauzito pia kama mimi kwa mme wake Candy
na kibaya Babu G, alikuwa ameisha mvisha pete ya uchumba.
mchumba wake ni mtoto wa mbunge ila siwezi kumtaja hapa
Kibaya zaidi wanaume wa sasa hivi walivyo, wakipata wanawake waliotoka familia yenye uwezo wanajitahidi sana kuwaoa wakihisi wamepunguza majukumu na kuwashusha hadhi watoto waliotoka familia duni na ndio maana Babu g, alimthamini sana Aisha kuliko mimi sababu ni mtoto wa mbunge.
Wakati chumba wake amefika, kilicho niuma ni kwamba mimi nilikuwa nimefurahi kumuona mwanaume alie nipa ujauzito kwamba Mungu amenikutanisha nae, lakini mchumba wake alipo ingia Babu G alisimama na kwenda kumbusu mbele yangu.
Nilijitahidi kujikaza nisiongee chochote lakini kibaya zaidi mimi ndio nilikuwa natenga chakula mezani, kumbe namtengea mwanamke mwenzangu sikufurahia.
Wakati tunaendelea kula Candy alikuwa analishwa na bwana yake, Aisha analishwa pia,
wakaona kama niko na msongo wa mawazo.
"Zubeda mbona huna raha, furaha yako siioni leo"
Alisema mme wake Candy
Wazo likaniijia niseme ukweli kuhusu mimba ya babu G, mbele ya mchumba wake huyo Aisha.
"Mbona unajifikiria kuna nini mama"
Alisema tena mme wa candy.
"Zubeda tatizo nini"
Aliongea candy na akahisi kuna kitu kimenikera.
Nilipo kuja kuchukia ni pale Aisha aliposema, "dada unatatizo gani mbona unatuogopesha, eti mme wangu Babu G, mbona simuelewi huyo binti"
Yale maneno yalinichoma nikataka kusema ukweli mbele yake kwamba mimi ni mke mwenzake na nina ujauzito wa Babu G, ila nikawa nakumbuka kwamba Babu G alinikonyeza hivyo nikawa na wasiwasi kwamba anaweza kunichukia milele kama nikimuaibisha mbele ya mchumba wake mpya alie vishwa pete.Moyo ulikataa nikaona hapa nakuwa mnyonge bora niseme tu ukweli liwalo na liwe, hata kama Babu G akimkana mtoto wake, siku mtoto akikuwa nitamwambia baba ako alikukataa na ushahidi upo.
Mme wa candy alishangaa naanza kuvimba hadi macho maana nilianza kulia mezani huku natamani kuongea kama mama ambae najua nimekosana na mama na baba angu,
nimewatenga siku nyingi wasinigundue kama nina mimba alafu nashindwa kusema wazi. "Shemeji unaumwa au yaani mbele ya wageni wangu unalia hadi machozi, niambie unatatizo gani"
Alisema mume wa candy akiwa kama ananionea huruma.
" @mlelandro kwenye maisha hali kama hizo utokea, mimi nahisi huyu binti kuna kitu kinamuumiza kichwa mpelekeni akapumzike"
Alisema Babu G akimwambia mme wa candy ili asiweze kuumbuka, wakati huo ananikanyaga mguuni nisiweze kufunguka ya moyoni. "Au huyu ni house girl wa ndani amumpi mshahara wake"
Alisema Aisha mchumba wa Babu G, ndipo nikapandwa na jaziba nikaamua kuacha kula nikaenda chumbani.
"Mbona huyo dada simuelewi au kanichukia mimi, mbona mimi hata simjui"
Alisema Aisha, "Mke wangu msamehe tu maisha ndivyo yalivyo sio kila mtu atakupenda"
@mlelandro yaani Mme wa candy alichukizwa na kitendo nilicho kifanya akaona namuaibisha kwa wageni wake.
Candy akaamua kuja chumbani kwangu, alikuta nalia nakujisikia vibaya.
"Zubeda unatatizo gani, yaani zuu unanificha hata mimi"
"Candy miaka yote hiyo nateseka na hii mimba, nyumbani wazazi hatuelewani, nakosa raha ya masomo, mwanaume alie nibaka na kunitoa usichana wangu na kunipa mimba juu kipindi tumeenda club nyie mkaenda kulala na wanaume zenu ndio huyo mgeni hapo Babu G"
"Ehhh, ndio huyo nisubiri kidogo" "Yaani mme wangu rafiki yako ndio kamtesa zubeda miezi yote hiyo, ujue huyu kaka ndio alimbaka Zubeda akamtoa bikra alafu akamkataa, mimi siwezi kukaa kimya ulicho fanya sio kizuri"
Aisha alipo sikia candy anasema maneno yale akadondosha kijiko chini maana mikono iliishiwa nguvu.
"Babu G, mme wangu binti wawatu analia hapa mda wote, kumbe mimba ni yako, kwahiyo yeye ana mimba na mimi nina mimba zote zako"
"Hapana Aisha nasingiziwa, tukapime hata hospitali, @mlelandro ugeni gani huu mbona mnanidhalilisha mbele ya mchumba wangu kwa mambo ya uongo""Babu G, kumbe wewe ni malaya, sasa kama huyu dada anamimba yako, mimi nahisi watakuja wadada wengi kuleta watoto wako nyumbani, mimi naona bora nimwambie baba kile kiwanja alicho tupa wote na nyumba ya wapangaji kule Tegeta, avichukue tu siwezi kuolewa na wewe, achana na maisha yangu"
"Shemeji usifanye maamuzi ya haraka hivyo, tuzungumze kwanza tujue muafaka" alisema mme wa candy.
Babu G akaanza kuongea kwa huruma, "mke wangu, hospitali zipo, kesho twende tupime huyu dada uhenda amenifananisha, mimi sio mjinga mpaka niikatae damu yangu"
"Hata mimi naona ilo niwazo zuri shem Aisha" alisema @mlelandro
Baada ya hapo wakaondoka, mme wa Candy akasema atanisaidia kwa kila namna kama kweli mimba niya Babu G.
Wakati huo hajagundua kama candy anaujauzito wa mzungu yeye akihisi ni wake.
Mchumba wake Babu G alikuja mwenyewe pale nyumbani ili tuzungumze ajue jinsi gani ya kunisaidia, "Zubeda, nikweli ujauzito niwa mme wangu"
"Ndio Aisha hata kitanda chake cha chumbani nakijua kilivyo"
Nikamuelezea "Hapo sasa nimeamini huyu mwanaume ni malaya sana, sikiliza anasema kesho twende hospitali kupima wewe kubali ili tumuumbue zaidi"
Kumbe Babu G ameisha ongea na daktari na wamepanga achokonoe mtoto wangu tumboni kwa namna yoyote ili afe asiweze kumpoteza mchumba wake mtoto wa muheshimiwa.
Siku ilipofika nikaenda mpaka hospitali, sasa nilipo ingizwa chumbani na daktari mapigo ya moyo yakaanza kwenda haraka, maana niliona vifaa vya kutolea mimba ambavyo nilivitumia kipindi cha nyumba damu zikatoka nyingi kidogo nife, "daktari kunipima kama mtoto ni wa Babu G mpaka nivue nguo zote"
"Kumbuka hichi kipimo nikikubwa na sitaki Babu G amkatae mtoto wake utateseka binti"
Nilivua bila aibu mpaka nguo yangu ya ndani kisha nikalala, maziwa yakiwa waziwazi, nikawa na wasiwasi dokta anaweza kuniingilia kimwili pia.
Wakati daktari anaandaa vifaa aweze kuharibu mimba yangu wakati nimeteseka nayo mda mrefu, wazo likaniijia kichwani kwamba kuna kitu kibaya wanataka kunifanyia, daktari alipo anza kunihisi kwamba nimeanza kuwasoma, akanichoma sindano mwili wote ukaishiwa nguvu hata kukunja kidole sikuweza lakini kuona na kuongea kwa shida nilikuwa naweza, nilipo ona chuma cha kuchomoa mimba."Babu G, kwanini unaniua, kwanini unaniulia mtoto wangu"
nilisema maneno hayo baada ya kuanza kumuona daktari anaanza kuniingizia hicho kifaa cha kumuharibu mtoto tumboni ili Babu G apoteze ushahidi kwa mchumba wake, wakati huo mwili umeishiwa nguvu siwezi hata kujigeuza au kubana mapaja ili daktari asumbuke kunichomekea kile kifaa ukeni
Wakati huo Babu G na Aisha wapo mapokezi wanasubiria majibu.
"Babu G, vipimo gani hivyo mda wote huo, na kwanini damu yako haijachukuliwa kupimwa, Zubeda atapimwaje mwenyewe, sijaelewa hapo staili yenu"
Alisema Aisha,
"Aisha my love huu utaalamu tumuachie dokta"
"Babu G, unaniogopesha, maana Zubeda angekuwa hajatembea na wewe asinge nipa picha nzima ya chumba chako yaani anafahamu hata rangi ya ndani,
ngoja nikamuulize dokta hiyo staili ya vipimo" "Nakushukuru Aisha maana bila wewe, ningekufa na kumpoteza mwanangu"
aisha aliingia mpaka nilipo kuwa nimelala akafungua ile pazia.
"Ondoka niache nifanye kazi yangu"
Alisema dokta.
"Upimaji gani huu dokta mbona kama unaua mtoto"
Alisema aisha kisha akanisikia kwa mbali nasema,
"Aisha mnaniua"
Ndipo aisha akaanza kugombezana na dokta ili aache kukichokonoa kile kifaa maana hata damu zilikuwa zinaanza kutoka na kutokana na kufanyiwa vile ndipo nikapoteza kizazi changu mpaka leo.
Wakati dokta anazozana na Aisha, akapigiwa simu "Hallo dokta za kazi"
"Salama, naona namba mpya"
"Ndio dokta mimi ni jirani yako kimbia haraka nyumbani kwako kuna ajali ya moto imetokea, mtoto wako alikuwa anachezea pasi ya umeme bahati mbaya ameungulia ndani mke wako amezimia hapa nahisi ni mshituko"
Yule daktari alichomoa kile kifaa kwa haraka na hapo nahisi ndio aliniharibu Uzazi wangu, Aisha akaniamisha hospitali nyingine ili nifanyiwe matibabu akapiga picha kile kifaa na hapo ndipo tukapata ukweli kuhusu wale jamaa kutaka kuchomoa mimba yangu wakati mtoto anamiezi Mingi tu, nilibahatika nikakaa sawa.
"Aisha mchumba wangu, nisamehe nilifanya hivyo sababu sikutaka kukupoteza"
"Babu G, sikutegemea kama unaroho mbaya kiasi hicho, hivi unajua ungemuua Zubeda pamoja na mtoto, kama ungemkubali mtoto unahisi ningekuacha, hivi kama unauwezo wa kuua hivyo, unahisi mimi naweza kuishi na wewe"
"Naomba msamaha""Babu G, nimesema achana na mimi na lazima nimwambie baba kuhusu tabia yako, hata yule daktari kwa kile kitendo cha kinyama lazima na yeye tumshtaki, huo sio utu sahivi sikupendi babu G, niache na maisha yangu"
yalikuwa ni maneno ya Aisha.
Aisha alikuwa ni mtu wa kukosa furaha na mara nyingi akawa ananiita nimpe ushauli,
"Zubeda mimi nahisi ni bora nichomoe hii mimba, najuta kweli kujuana na huyu kaka naogopa maana hata wazazi sijawambia kitendo alichotaka kukufanyia"
"Aisha nakuomba usitoe hiyo mimba, uwezi jua labda ndio kizazi kilicho baki kwako na kwenye kutoa mimba kuna mambo mengi, unaweza kufanikiwa kutoa akafa mtoto au mkafa wote nanidhambi kubwa kwa Mungu"
Tulielewana na tukawa marafiki kabisa bila wivu wowote.
Kumbe Babu G, alikuwa amekeleka na hicho kitendo na akajua fika mtoto wa mbunge atamkataa hivyo fursa ya hela na zawadi walizo pewa na baba Aisha zitachukuliwa na alikuwa amehaidiwa vitu vingi kama kupata nafasi nzuri ya kazi yenye mshahara wa maana,
ndipo babu G, akaamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kuanza kujiingiza kwenye dhambi na mambo yasio mpendeza Mungu.
"Karibu kijana, najua shida yako, lakini huyo binti hana tatizo na wewe usimfanyie kitu kibaya sana"
Alisema mganga,
"Mtaharamu mimi sitaki umfanye kitu kibaya sana, ila shida yangu nataka Aisha aniamini upya, naomba umfanye zubeda popote atakapo ulizwa kuhusu ujauzito amsingizie hata mwanafunzi yoyote darasani kwao hapo chuo, ili nibaki na Aisha, nikimkosa Aisha nitaumbuka maana wazazi, ndugu na marafiki wote wanajua miezi sio mingi nafunga ndoa na mtoto wa mbunge nchini"
alisema Babu G,
"Sawa kijana weka chochote ulicho nacho naamisha fedha nikufanyie kazi"
Babu G kama alivyo toa ushuhuda alitoa laki tatu kwa yule mganga.
Walifanya kama walivyo jua na kibaya zaidi na mimi nilikuwa mzembe kwenye maombi, nakumbuka ilikuwa saa mbili usiku mimi candy na mme wake nikawambia kwa kinywa changu,
"Shemeji mlelandro, leo nawambia ukweli, kwamba huu ujauzito sio wa Babu G ni wakijana nasoma nae darasani anaitwa Musa"
" haa, Zubeda yaani umesababisha babu G, umemgombanisha na aisha kumbe mimba sio yake nampigia simu aisha useme uo ukweli sasa hivi"
Hawakujua kama sio akili zangu nimeisha logwa"Hallo shem Aisha, kumbe zubeda alikuwa anataka kuwaharibia mahusiano yenu na Babu G, yeye mwenyewe katubu na anataka akuombe msamaha"
"Shem @mlelandro acha utani wako, nipe niongee nae"
"Hallo, Aisha"
"Ndio Zubeda ninayo yasikia niyakweli?"
"Naomba unisamehe sana Aisha ni shetani tu, kweli huu ujauzito sio wa babu G, nilikuwa nampenda hivyo nikaona wivu kukuona nae hivyo nikaona, nitumie hicho kama kigezo"
"Zubeda mbona hadi chumba chake unakijua vizuri"
"Alikuwa anakuja sana hapa nikaona chumba kupitia picha za simu yake,
mimi nimejivua na mwenye hii mimba yangu ni Musa, usimuache kaka wawatu"
Nilizungumza hayo maneno nikiwa makini sana, wakati huo mimi sihisi chochote kama najipondea najiona nazungumza maneno ya ukweli na ya msingi kabisa.
Aisha aliposikia vile moyo wake bado ukawa unasita
"Zubeda niambie ukweli au umetishiwa mauaji, au umeongwa hela, usije ukanifanya nikamsamehe alafu kumbe najiingiza kwa mwanaume hatari"
Nilimuaminisha kuwa mimba sio yake mpaka Aisha akarudiana na Babu G na ikawa furaha kubwa sana kwake maana aliona mganga kamsaidia.
Ndipo babu G akaanza kufanya mipango ya haraka ili afunge ndoa na Aisha awe mke kabisa ili iwe ngumu kwa Aisha kuondoka kwa kuogopa aibu ya kuachika kwenye ndoa.
Sasa kilicho mshangaza Candy na mme wake kila siku nilikuwa naongea maneno yaleyale kwamba "mimba sio ya babu G, niya Musa"
Wakaanza kujiuliza, "kwanini kila ikifika saa mbili usiku zubeda anaongea haya maneno"
Candy akasema, "huyo Musa anae msemea mimi namjua na hatusomi nae darasa moja yupo mwaka wa tatu na alikuwa kimahusiano na Zubeda wakati zubeda tayari anaujauzito, na Musa alipo gundua Zubeda anaujazito wa mtu akamfukuza,
kwa upande wa darasani hakuna mtu anae itwa Musa"
"Candy mke wangu haya mbona ni makubwa"
"Makubwa sio kidogo, kibaya zaidi akiwa darasani analia mda wote kwamba wazazi wake wamempa laana, kusoma sahivi hasomi hata kidogo"
Kipindi hicho Candy anatakiwa kwenda clinic na kwenda na mme wake waweze kujua kama wanaukimwi ili wajue jinsi ya kumlinda mtoto ila candy akawa anamkwepa sana mme wake na akiwa hospitali anasema mme wake anasafiri sana anaendesha magari makubwa kusafirisha mizigo nje, hii yote asigundulike ameathirika.Maisha yangu yaliendelea kuwa kama hayaeleweki, nilikuwa naendelea kuwa kama mtu ambae anapoteza akili kila kukicha na nilikuwa mkorofi mtu akiniongea kidogo nakasirika, namgombeza huku nikitoa machozi,
maana nilikuwa namkana kwa maneno Babu G, kwamba mimba sio yake lakini nilikuwa sijitambui kama naongea hivyo,
kilicho kuwa kinaniuzi ni kwamba Babu G alikuwa anipi hata mia kunijali kama mwanamke mwenye ujauzito wake hivyo nilikuwa nauzika kwa hilo.
Kumbe upande wa pili Emilia akiwa katika wodi ya vichaa na ujauzito wake, vichaa wenzake sijui ilikuwaje wakampiga na ilisemekana walimgonga kichwa ukutani hivyo akawa amepoteza akili hata ya kusimama au kutembea na alikuwa mjamzito anae hitaji kutembea na kufanya mazoezi ili kiumbe tumboni kichangamke sasa yeye alikuwa analala tu ndipo baba ake akaamua kumtoa kule ili afanye mpango wa kumfanyia matibabu,
Emilia alishindikana kupata matibabu nchini Tanzania ndipo ikabidi aende India lakini kipindi hicho baba ake alikuwa kiuchumi hayupo vizuri kutokana na kutoa pesa nyingi kwa ajili ya kumtunza Emilia na uchizi wake kule wodini,
ndipo ikabidi baba ake auze kiwanja kilichopo BUNJU B, ili mtoto atibiwe India, Emilia ungemuoa ungemuonea huruma alikuwa aongei, asimami wala hata kujigeuza maana alivyo gongwa kichwa ukutani sijajua kiutaalamu lakini tatizo lilikuwa kubwa na alipo fika huko akatengenezewa kifaa cha kumfanya kama anatembea cha mazoezi, akiwa kitandani ili hata akifa mtoto aweze kuzaliwa.
Upande wangu mitihani ya muhula wa kwanza (test one) ilipo fika mtihani wa saa zima mimi nafanya dakika tano kisha natoka darasani
ilikuwa hairuhisiwi kuingia na simu kwenye chumba cha mtihani ila niliingia nayo, bahati mbaya ikaita tukiwa tumeruhusiwa kufanya mitihani nikapokea msimamizi akiwa ananiangalia.
"Hallo"
"Hallo Aisha"
"Unaendeleaje, ujue bado sijaamini kama mimba sio ya babu G"
"Aisha mimba sio yake, bora nife tu"
Nilikata simu, akaja msimamizi wa mitihani, "wewe binti, unadhalau kiasi hichi, siamluhusiwi kuingia na simu kwenye chumba cha mtihani"
Sikumjibu nikampiga nayo kwenye maziwa yule mwalimu Vicky wa kike, "Unanipiga na simu yako, mjinga kweli twende kwenye uongozi lazima ufukuzwe chuo"
Akanivuta njeNilipelekwa kwenye uongozi wa chuo kwa bahati nzuri candy akamaliza mtihani haraka akaja kunitetea, wakati huo yule msimamizi kamuachia mwalimu mwingine aangalie wanafunzi wasiibiane majibu akiwa na mimi amekasilika.
Maamuzi ya uongozi ilikuwa nifukuzwe chuo maana kila walicho kuwa wananiuliza mimi nilikuwa nakubali, hivyo ikaonesha kama ninadhalau flani hivi, lakini Candy alinitetea na kusema "Dean, msimfukuze Zubeda, anamatatizo ya akili"
Ndipo nikapewa Musa wa kukaa nyumbani kufanya matibabu mpaka nikae sawa ndio.
Mme wake candy aliniangaikia sana, kiukweli tulizunguka hospitali nyingi lakini sikupona kuna mchungaji alinifanyia maombi pale nyumbani ila nahisi labda imani yangu ilikuwa ndogo kiukweli sikupona pia kitu kilicho kuja kumchukiza Candy nisiku alitoka chuo akakuta nimepasua vyombo vyote vya udongo kabatini na Meza yake ya kioo nimedondosha kiupande ikapata kileki, kwasababu ya asila kichwani na kujiona kama nimerushiwa pepo la kuchukiwa yaani kila ninae muona nahisi nimemkosea kiakili sikuwa sawa, kibaya zaidi nikawa naugua sababu ya ujauzito lakini akili ya kusema nipelekeni hospitali nilikuwa sina, sasa candy alipo ona nimempasulia vyombo vyake vizuri alivyo pewa kwenye ndoa yake akachukia lakini mme wake akamtuliza ndipo wakapata wazo la kunirudisha kijijini kwa baba, kiukweli baba alisononeka sana kuniona kwenye hali ile kwanza nilipofika hata kumsalimia sikumsalimia akajiongeza mwenyewe kwamba sipo sawa, mme wake candy aliwaelezea kuhusu ali yangu basi nikaanza kuwa mzigo pale nyumbani, nakumbuka nilisha wai kujisaidia haja kubwa kisha kile kinyesi nikakipata ukutani chote, kujisaidia haja ndogo na kuunywa mkojo ilikuwa ni furaha yangu,
"Ehhh Babu G, ulinifanya niwachukie wanaume jamani, kwanini uliniroga"
Siku moja Aisha alienda kwa Candy akiwa na zawadi na hela kidogo ameniletea maana alikuwa na huruma kama mwanamke kutokana na hali yangu ya ujauzito.
Alipofika akaambiwa nimekuwa kichaa nipo kijijini, aliumia akarudi na dereva bajaj wake, bahati mbaya wakapata ajali dereva akafa Aisha akabanwa tumbo lake vibaya akiwa na ujauzito wa babu G, damu zikaanza kutoka ukeni nyingi, maana dereva aliovateki akakutana na daradara uso kwa uso.Baada ya dereva wa bajaji kufariki, Aisha alikuwa kwenye hali mbaya mno, maana alibanwa tumbo akiwa mjamzito na kibaya zaidi kumbe mguu wake wa kulia ulikuwa umebanwa na chuma kwenye mshipa ukapelekea yule Aisha kuvunjika mshipa wa mguu pia, kipindi Aisha anapiga kelele akiomba msaada ili wapita njia waje kumsaidia kuna jamaa mmoja kama chBaada ya dereva wa bajaji kufariki, Aisha alikuwa kwenye hali mbaya mno, maana alibanwa tumbo akiwa mjamzito na kibaya zaidi kumbe mguu wake wa kulia ulikuwa umebanwa na chuma kwenye mshipa ukapelekea yule Aisha kuvunjika mshipa wa mguu pia, kipindi Aisha anapiga kelele akiomba msaada ili wapita njia waje kumsaidia kuna jamaa mmoja kama chizichizi tu, mtu ambae hata yeye mwenyewe ukimtazama hajijali hakumsaidia Aisha, akachukua Simu ya Aisha aina ya SAMSUNG S10, bila hata huruma akaondoka zake,
kwa uchungu aliokuwa anausikia Aisha hakuweza kupiga kelele za kumuitia mwizi, kilicho mshangaza Aisha nipale alipo ona dereva anavuja damu na ajigeuzi hata kidogo maana alihisi anaweza kumsaidia.
Kuna watu walifika pale wakavuta chuma kilicho kuwa kimembana tumbo Aisha, kisha wakaanza kumvuta kwanguvu bila kujua mguuu umebanwa zaidi, Aisha aliposema naumia msinitoe hivyo, watu hawakujali kutazama mguu wakahisi wanamsaidia tu uchungu ulimfanya Aisha apoteze fahamu, wakamvuta hivyohivyo mpaka akatoka, dereva hakuwapa shida wakamtoa pia.
Wakashindwa jinsi ya kutoa msaada maana dereva walimkuta amefariki na Aisha kapoteza fahamu sababu ya maumivu kuzidi, kibaya zaidi simu ya Aisha ilikuwa imeibiwa na ya yule dereva ilikuwa na neno la siri gumu watu walijaribu mpaka ikajifunga.
Ikabidi wampeleke Aisha hospitali ndipo wakamfilisha kwa yule daktari alie taka kutoka mimba yangu kwa bahati nzuri au mbaya akapigiwa simu kuwa mtoto wake ameungulia ndani ya nyumba na yule daktari alikuwa na uchungu sana na Babu G, maana kipindi amepata matatizo babu G, hakumtafuta hata kumpa pole tu ya matatizo yake.
Alipo muona Aisha pale akakumbuka kuwa ni mchumba wa babu G na wakati huo anatamani kumfanyia kitu kibaya Babu G maana hakuonesha utu.
kwa jinsi Babu G, alivyo mjinga kuna mtu alimpigia simu, "mchumba wako nimemuona analetwa hospitali anaumwa"
yeye ndio akatumia hiyo nafasi badilisha mboga, yaani kuleta kamchepuko kake ambako kalikuwa kanafanya kazi ya kujitolea ofisini kwao akakaita ili afanye nako mapenzi akijua fika hawezi kufumaniwa maana Aisha anaumwa.
Yule daktari alipompima ujauzito akakuta Mimba iko sawa, ila kuna tatizo kidogo linatibika,
wakati huo Aisha hana fahamu.Wakati Babu G anaendelea kupata raha na mchepuko wake bila kuwa hata na utu wa kujua Aisha mwenye ujauzito wake anaendeleaje, kutokana na alivyo tubu alisema mwenyewe kwa mchepuko wake
"Leo hatutoki humu ndani, nimependa penzi lako Brenda na nitakusaidia mpaka ofisi ikuajili na hapa nilipo ninafahamiana mpaka na mbunge kwahiyo usijali nitakutafutia kazi yenye maana"
Alisema babu G kwa Brenda bila kuwaza chochote kuhusu Aisha na wakati huo Aisha anateseka maumivu makubwa mwilini.
Kwa bahati nzuri, yaani Mungu Saidia! Wazazi wa Aisha wakapata taarifa kipindi hicho baba Aisha alikuwa bungeni dodomo hivyo mama Aisha akawai haraka hospitali kumsimamia mtoto
"Doctor mimi ni mke wa Mh Rama, naomba ujitahidi binti yangu apone nitakupa kiasi chochote cha pesa"
"Lakini mama mbona bwana yake huyu binti sijamuona tangu ameletwa"
"Ngoja nimpigie simu"
Ndipo mama Aisha akapiga simu hapohapo, "Hallo Babu G, mchumba wako anaumwa isitoshe ameumia tumbo sana na kumbuka anaujauzito wako kibaya zaidi mshipa wa mguu umepinda yaani mguu umelegea unaweza hata kuukunja"
"Sikilizeni umesikia Babu G ni mpenzi wangu mimi na hapa yuko na usingizi amelala nimepokea simu mimi, hatutaki usumbufu umesikia"
Kumbe Babu G, alikuwa amelala hivyo Brenda kwa kuwashwa akamjibu mke wa muheshiwa upuuzi.
Kiukweli yule mama alichoka, akamuonea binti yake huruma, lakini hakutaka kwanza kusema akakaa kimya kwanza.
Sasa kwa upande wangu baba alizunguka kwa wachungaji ikashindikana ndipo akaamua kunipeleka kwa waganga wa kienyeji, "Baba Zubeda, tatizo la binti yako mizimu imekwisha nambia kwamba shangazi yake ndio anamchezea maana yeye amefika chuo tena degree watoto wake wanaishia chini"
"Ohhh kumbe ni dada ananirogea mtoto, sawa nitajua chakufanya"
Baba alilipa 52000tsh kisha akamfata dada ake, wakatukanana, wakavuana nguo ikawa ugomvi ndani ya kaka na dada wa tumbo moja, kumbe ni uongo aliefanya haya yote nikawa chizi ni Babu G.
Aisha alishindikana mama Aisha akawa analia kimya kimya bila babu G kujua, "Nitamtibu mwanangu kwa pesa yoyote, ila Babu G nimemchukia sana"
Kizuri ni kwamba babu alipopata taarifa akuambiwa ni hospitali gani, kibaya zaidi Brenda akusema kama aliongea mama Aisha pia.Akili zilipo muingia Babu G, kwamba mchumba wake anaumwa ndipo akaanza kama kupaniki, "Brenda mpenzi wangu mimi naomba sahivi urudi kwako maana nimetingwa na kazi nyingi mchumba wangu"
"Kazi gani Babu G"
"Kazi za ofisini"
"Naomba nikusaidie hizo kazi"
"Hapana Brenda wewe nenda tu kapumzike kwako"
"Nisikilize Babu G, unajua wakati tunafanya mapenzi nilikwambia nipo kwenye siku za hatari, hivi unajua naweza kuwa tayari na ujauzito wako, alafu usihisi mimi ni mtoto kumbuka nimesoma najua kabisa kinacho kuwangisha kichwa ni huyo kilema wako Aisha"
"Brenda umemjuaje Aisha, na kwanini unanifatilia"
"Nakupenda Babu G, isitoshe hata mama mzazi nimeisha mtumia picha yako whatsapp kwamba wewe ndio bwana yangu, kiukweli nimechoka kukaa kwenye geto huko nyumba za kupanga mimi naamia hapa"
"Ehhh uamie hapa, nani kamwambia mimi nataka kuoa"
Babu G aliondoka moja kwa moja kwenye hospitali kubwa nne za kitajiri kumtafuta Aisha maana mama ake hakupokea simu kabisa, wazo la kutaka kumfata daktari rafiki yake likamuijia ila akaogopa kwenda kwa aibu ya kutompa pole alipo fiwa na mtoto.
Matibabu ya Aisha yalikuwa magumu kiukweli ndipo akaamishiwa hospitali kubwa,
"Ehhh wewe mama ulikuwa umempeleka hospital gani huyu binti"
"Nilimpeleka hapo HADITHIZETU HOSPITAL"
"Yaani huyo daktari angekuulia mtoto yaani mguu mpaka unataka kuoza"
Ndipo aisha akaanza matibabu bora, akatibiwa hadi na wazungu mule hospital mpaka akaanza kupata nafuu kisha mama ake akaanza kumfanyisha mazoezi ya mguu, wakati huo dereva wa bajaji alisha zikwa mda sana.
Kipindi anafanya mazoezi njiani Babu G akawaona alikuwa anaendesha, "Aisha pole mchumba wangu" Aisha akujibu wala mama hakujibu wakamuacha amesimama, ujauzito ukiwa mzima na mguu ukikaribia kupona
Babu G alirudi nyumbani haraka,
"Brenda naomba utoe kila kitu hapa, ondoka kwako"
"Mimi siondoki sasa kwanza sahivi kodi imeisha na kwetu ni Sumbawanga mbali huko naondokaje"
"Ngoja nikakutolee nauli Bank nakuja sahivi"
Ndipo Brenda akachukua dawa akaipaka getini na mlangoni anapovuka Babu G ili augue asipate hata nguvu za kumfukuza alegee mwili mzima.
Na Babu G alifanya vile akijua Aisha lazima atakuja na akimfumania Brenda itakuwa hatari ndani ya MjengoBrenda alipo maliza kuweka dawa akakaa kimya sebreni na dawa alizitegea getini na mlango wa kuingilia ndani ya nyumba wakati huo Babu G, anaangaika na ATM kutoa pesa lakini mtandao mbovu hivyo ukawa unamchelewesha, kwa bahati nzuri pesa ikakubali kutoka wakati anataka kuingia kwenye gari aende kumfukuza Brenda bila kujua anaenda kupoteza nguvu kazi kwa bahati nzuri akapigiwa simu na Aisha kabla hata hajaanza kwenda.
"Hello babu G, nimekumiss mme wangu njoo nyumbani"
Babu G aliposikia Aisha anasema amemmiss akapagawa hapohapo, kumbe Aisha alikuwa anataka kumvulia pete ya chumba mbele ya mama ake maana mama Aisha alichukizwa kwa umalaya wa Babu G.
Babu G alichanganyikiwa akawaza kwamba Aisha anaweza kumlazimisha waende kwake na Brenda yupo kwahiyo bora akamfukuze, kisha akimbize gari haraka kwenda kwa Aisha kama alivyo muita, huyu Babu G sijui alikuwa na nyota gani maana kipindi bado hajafika gari lilihalibika njiani likashindwa kuwaka kabisa akajaribu kulitengeneza haraka ikashindikana, akaomba asukumwe akalipaki pembeni hapo aamini kama kweli Aisha amemsamehe, akasimamisha bajaji hatua chache mbele kulikuwa na traffic wakamchelewesha mwenye bajiji maana alikuwa ajalipia Bima hivyo akaanza kuambiwa atoe faini dereva anabisha, "ehhh nachelewa mimi, chukueni hiyo elfu 30 yenu"
Alilipa babu G kumbe anafata matatizo, wakati babu G anafika getini akakuta mzee nje "Habari yako mzee, shikamoo"
"Marahaba"
"Karibu"
"Asante kijana nazani wewe ndio Babu G"
"Ndio mzee"
"Naomba twende ndani nina mazungumzo na wewe kijana wangu"
"Lakini sasa babu mimi ninaharaka leo kwanini isiwe kesho"
"twende utaniacha nakusubiria"
Kumbe huyo mzee alikuwa ni baba yangu mzazi baba Zubeda mwenyewe, ameisha pata ukweli kuhusu alie niloga na aliambiwa Babu G akikubali kumpeleka baba kwa mganga wake basi mimi napona.
Babu G alimkaribisha ndani wakafungua geti, kumbe kuna dawa imetegwa na mtu yoyote atakae ivuka lazima akione cha moto, wakati Babu G na baba wanavuka hapohapo wote, "ehhhh kichwa, kichwa kinauma"
wakakimbilia kuingia mlango wa kuingilia ndani kumbe kuna dawa nyingine chini ndipo wote walipo anguka chini na kupoteza nguvu ,
Baba alie kuwa ananipambania nipone akaaanza kuumwa pia.Ile dawa ilikuwa inafyonza nguvu zote za miguuni, uwezi kusimama na kichwa kinauma ubaya zaidi inafanya miguu kuwa ya baridi kama nyoka au mtu alie fariki, kisha mgongo wote unauma kama unaungua hivi, hata staili ya kulala inakosa kabisa.
Brenda alimvuruta Babu G mpaka kitandani kisha akamuacha analia,
"Miguu yangu, miguu yangu, kichwaaa kichwaa"
"Mbona uongelei uume wako unaochanganya madada za watu"
Alisema Brenda
Brenda akachukua dawa nyingine akaiweka kwenye maji ya kunywa kisha akamnywesha baba ndipo akapona akaitoa na ile dawa baba atoke nje.
Baba alirudi nyumbani akisema awezi kurudi tena kwa Babu G,
Babu G alikuwa ananyeshwa uji hana nguvu, ofisini akipigiwa simu hapokei maana hana uwezo wa kuongea cha maana kikaeleweka, Brenda alifanya hivyo maana alijua kabisa Babu G alitaka kumchungulia tu uchi wake kisha amuache maana alijua fika Babu G anampenda Aisha binti mrembo wa Mbunge.
Aisha alipo ona siku zinaenda akaona bora aende nyumbani kwa Babu G aweze kuchukua nguo zake za ndani, kitenge chake alicho kuwa anakitumia pale kisha avue ile pete ili kila mtu afanye maisha yake.
Sasa kumbe siku hiyohiyo Aisha anaenda kule na ndio siku hiyo taarifa zinatoka za kusikitisha kwa Emilia ameiaga dunia lakini kiumbe chake yaani mtoto ametoka Salama, kibaya zaidi hiyohiyo siku ndio Brenda nae amechukua chupi nyekundu ya Aisha ili amfanyie tukio baya kwenye sehemu zake nyeti awe anatoa arufu mbaya ya milele na apate vidonda pembeni ili amponeshe Babu G kusudi akifanya mapenzi na Aisha ajisikie kinyaa na ampende Brenda maisha yake yote, "lakini duniani kuna mambo"
Kweli yule Brenda alifanya hivyo na wakati Aisha yupo kwenye gari anaendesha kwenda kwa Babu G alianza kusikia joto anachemka mwili jasho jingi, kisha akawa anahisi kama kuna uteute sehemu zake nyeti kwenye kujikagua harufu aliyo kutana nayo haikuwa ya kawaida,
ikabidi apaki gari akaenda siti za nyuma alilia alivyo jitazama nyeti zake yaani vitu kama majipu ikabidi arudi kumuonesha mama ake mzazi, mama mwenyewe alivyo msafi akuweza kuvumilia harufu, akaanza kumpaka dawa
vidonda vikaanza kusambaa mapajani na makalio
" Aisha binti yangu usivikune"
"Mama nahisi Babu G kanipa ukimwi"
Alisema akiwa analiaAisha alikuwa ni mtu wa kusononeka mara kwa mara na hata unafuu wa mguu wake haukumpa furaha kama alivyo talajia
kutokana na hali mbaya ya nyeti zake aliyokuwa nayo kwa unyama wa kulogwa aliyokuwa amefanyiwa na Brenda.
Msiba wa Emilia ulisikitisha wengi lakini baba Emilia alikuwa na furaha maana madaktari walijitahidi mtoto asipate maambukizi ya virusi na mtoto alikuwa njiti pia maana Emilia alifanyiwa operation kabla ya kutimiza miezi tisa ya mimba kutokana na dalili za kuonyesha anaweza kufariki.
Brenda alijichanganya sana, maana alihisi kwamba Babu G anaweza kupona kama akimpa dawa zake zingine lakini kila alipo jaribu kumponesha ikawa ngumu, sasa ikafika hatua babu G akaanza kupoteza sauti ya kuongea akiwa mule chumbani, Brenda akajua lazima itakuwa kesi kubwa, akachukua pesa kwenye droo ya babu G kisha akaondoka zake kwenda Sumbawanga asiweze kupata kesi ya kifo cha Babu G.
Aisha alizunguka hospitali mbalimbali ili aweze kupona lakini ikawa ngumu, ndipo wakashauliwa kwamba huenda babu G ndio kamloga hivyo waende kwake waongee nae vizuri.
Mama Aisha pamoja na Aisha mwenyewe walicho kiona hawakuamini, walimkuta babu G amezidiwa, hawezi kuongea wala kujigeuza
"Babu G, umekuwaje"
Alisema Aisha akiwa anasononeka
"Binti yangu punguza kulia kumbuka unaujauzito usiwe na mawazo kiasi hicho"
Babu G alijitahidi akiwa hana nguvu akachukua kalamu pembeni ya kitanda akaandika, "NIMEROGWA NA BRENDA NIPELEKE NITIBIWE NAKUFA"
babu G akapelekwa hospital lakini alionekana haumwi chochote, akaomba apelekwe kwao.
Kipindi hicho baba ananitafuta sana nikiwa nimetoroka nyumbani na kibaya zaidi nilikuwa nalala na kuzunguka sehemu mbaya, chafu na hatarishi kabisa,
Sasa siku moja Candy akiwa na bwana yake wakipanga mikakati ya mtoto wao jinsi ya kumfungulia akaunti ya benki "Candy ukinizalia mtoto mweupe nitafurahi sana maana atakuwa na rangi kama yangu baba ake"
"Usijali baby mtoto lazima awe mweupe"
Wakati huo anajua fika hiyo mimba ni yake.
Mimi siku moja nikiwa mwenyewe usiku kibaya zaidi sehemu iliyosadikika kuwa na vibaka sana usiku, nilipatwa uchungu, kwajinsi Mungu alivyo wa ajabu nilipata akili ya kulala chini nikatanua miguu na kuanza kujifungua mwenyewe usiku huoKiukweli Mungu ni mwema kwa matatizo yote niliyo pitia nikabahatika kupata mtoto wa kike nilie mpa jina la Bahati, wakati huo bado kikakili sikuwa sawa kilicho saidia nizile kelele za mtoto kulia wakati nimejifungua usiku na kwa bahati nzuri vibaka 1wa hiyo mitaa ndio walinisaidia na kunipeleka mpaka kwa baba mzazi nikiwa bado kichaa.
Aisha aliendelea kupata mawazo juu ya tatizo lake alilo fanyiwa na Brenda la kutoa hewa chafu mda wote sehemu zake za siri.
Kilicho wakwaza Aisha pamoja na mama ake nipale walipo jitahidi mpaka wakamfikisha Babu G kwao lakini jibu walilokutana nalo kwa baba ake Babu G ni kufukuzwa na panga huku Baba ake akisema, "huyu mtoto mpuuzi nilitumia ghalama zangu kukusomesha hujawai hata kuleta chumvi hapa kijijini, nasikia kazi yako ni wanawake tu na pombe huko mjini"
Aisha na mama ake wakapata wazo la kwenda kuombewa maana walijua lazima Babu G apoteze maisha, Kiukweli uongo dhambi, kuna mtumishi mmoja wa Mungu ndio aliwaombea wote wakapona, huyo mchungaji alikuwa ni mtu wa huko Mbeya, ila kutokana na kuponya watu wengi viongozi wengine wa dini ambao walikuwa maeneo yale walipo ona wanapoteza waumini wengi na wanamkimbilia huyu anae ponya basi wakamuekea figisu kuwa ni Freemason hivyo basi kanisa lake likabomolewa na hajawai kuonekana mpaka leo.
"Aisha natubu kwanzia leo siwezi kurudia makosa yangu naomba nikuoe kabisa tuishi pamoja nimlee mtoto wangu"
Alisema Babu G,
Aisha alikuwa mpole alisita kidogo kisha akajibu, "sawa Babu G nimekuelewa"
Mama aliwapa baraka watoto hakuwa na kipingamizi.
Wakati huo mimi bado akili haija kaa sawa, kipindi hicho shangazi anamchukia baba sana kwasababu baba alisema yeye ndio kaniloga, kumbe haya madawa yanamda wake kiukweli siku moja nimeamka asubuhi nikaanza kujishangaa nywere chafu alafu nipo chumba ambacho akifanani na hostel nilipotoka nje kukimbia nakutana na Baba,
"Zubeda usitoroke tena utanitesa"
"Nikutese na nini baba, na kwanini niko hapa mbona nimechafuka sana"
Baba alilia akamfata mtoto wangu maana ndie alikuwa anakaa nae kwa umakini,
"Zubeda binti yangu, hichi hapa kiumbe chako"
Yule mtoto alikuwa anafanana Babu G, huwezi kupinga
"Zubeda huyu ni mtoto wa nani"
"Baba huyu ni mtoto wa babu G""Sawa Zubeda, nenda kajiandae vizuri jisafishe kabisa upendeze kesho tutaenda kwa Babu G aweze kumuona mtoto maana, kama unavyo ona hali ya hapa nyumbani sio nzuri kabisa kifedha na huyu mtoto anahitaji malezi awepe kupata afya nzuri bila pesa ni tabu sana"
Wakati huo Babu G na Aisha mapenzi yamenoga moto moto Babu G katulia ameacha uhuni Aisha ameisha nogewa na penzi na kipindi hicho ndio wanaandaa kadi za harusi maana walikuwa wamekaribia kufunga ndoa kabisa ingawa walikuwa wanaishi pamoja.
Baba alikuwa anapakumbuka kiukweli tulienda na tukawakuta wote maana babu G alikuwa ameisha fukuzwa kazi hivyo mda mwingi alikuwa anakaa nyumbani na Aisha ndio alikuwa anamuwezesha pesa maana alikuwa anatoka familia ya kitajiri, "Hodiiiii"
"Karibu ingia ndani mlango uko wazi"
Tuliingia wote mimi na baba, Babu G akashtuka akajua hapa kuna majanga,
"Zubeda za miaka mingi umeisha pona"
"Ndio nimepona Aisha"
Niliongea nikitoa machozi
"Usilie Zubeda, una tatizo kwani"
"Nimemleta mtoto wa Babu G, alie mkana mda wote huo, alie nisababishia matatio"
"We we weehh funga domo lako nasema toka kwangu nani amezaa na wewe, unataka kuniharibia ndoa sio"
Alisema babu G wakati huo mtoto hajafunuliwa sura kuonanekana kama mtoto Ni wake
Baba akasema, "babu G, hatukuja hapa kwa shali, shida yetu kubwa ni kwamba, kule kijijini hali ya maisha ni ngumu hatuna pesa kabisa ya kumtunza mtoto, ukizingatia zubeda alikuwa mgonjwa hata maziwa ya kumnyonyesha mtoto hayatoshi utapoteza damu yako na itakuuma milele msaidie huyu mtoto"
"Nyie kama mlikuwa mnataka kupata misaada mngesema, sio kutaka kunigombanisha na Aisha wangu"
Aisha aliguswa akambeba mtoto, ile anaangalia Katoto, sikio, pua na mdogo vyote vya Babu G, macho ndio usiseme, yaani mtoto katoka baba kopi laiti.
"Babu G, acha kubisha hii ni damu yako, mtazame mtoto" alisema Aisha, "Aisha mke wangu, hawa ni washirikina wanataka kutuharibia tu, wananjia nyingi, uchawi upo baby"
"Babu G, mimi sio mtoto umesikia ehh, umesahau kipindi chote unamkana huyu binti, ona sasa Mungu alivyo kuumbua"
"Babu G, umenitesa vya kutosha, hata masomo yangu pia yameharibika kwasababu yako wewe, kama umemkataa mtoto kwaheli naondoka, maisha mema""Hapana usiondoke Zubeda baki", alisema Aisha mbele ya Babu G, "mke wangu Aisha, unamzuia nini sasa, acha Zubeda aondoke atatuvurugia mipango ya harusi"
"Babu G hata mimi ni mwanamke, siwezi kuona mwenzangu anafanyiwa hivi nikakaa kimya, namuonea huruma; bora tuishi wote hapa nimekubali tuishi wote maana huyu mtoto alie zaliwa na Zubeda hana dhambi hivyo sio vizuri ateseke na sisi tunauwezo"
Kwasababu sikuwa na uwezo ikabidi nikubali kuishi na Aisha kwa Babu G tukiwa wote wake zake.
Baba aliondoka tukaanza maisha pale nyumbani, kiukweli nilijaribu kuvumilia kuishi pale, Aisha akajitahidi kuonesha upendo mkubwa kwangu bila kuwa na kinyongo lakini tatizo lilikuwa kwa babu G, akija hata mtoto wake ambebibebi kuonesha upendo, japo hata kununua vinguo, midoli ikawa tabu kwake akihisi eti Aisha atachukia kwamba hapendwi, yote niliyavumilia ikafika kipindi nahitaji japo kupata joto la baba watoto lakini Babu G hakutaka kushiriki na mimi japo kunipunguza hamu alie kuwa anafaidia ni Aisha.
Nilianza kujiusisha na maswala ya dini ili nisifanye maamuzi mabaya; lakini uvumilivu ulinishinda, kuna mwanaume mmoja alikuwa ananitongoza mara kwa mara kila nilipokuwa nikienda kanisani na nilijitahidi sana kumkatalia maana nilijua Babu G anaweza kutumia kama kigezo cha kunifukuza kwake, lakini huyu kaka alie kuwa anaitwa Marwa alikuwa anajali sana, kunijulia hali mda mwingine zawadi mpaka nikawa naaanza kupata hisia za kimapenzi kwake lakini nikawa bado najizuia.
"Zubeda mimi nipo tayari kuishi na wewe na siwezi kukutupa mchukue mtoto wako usiteseke huko"
Alisema Marwa akiwa anamaanisha
"Marwa naogopa nyie wanaume ni waongo"
Wakati huo nimemuacha mtoto wangu mchanga na mamdogo wake yaani Aisha anamuogesha maana katoto kangu kalikuwa kachanga bado na Aisha alikuwa anakapenda sana.
Wakati aisha amejifunga kanga yake sebreni anamuogesha mtoto baba angu mzazi alikuwa amekuja siku hiyo kutusalimia na kujua hali yangu na wakati huo mimi nipo namsikiliza Marwa maneno yake aliyo kuwa ameniitia, Marwa alitaka kabisa nifanye nae mapenzi siku hiyo ndani kwake akajitahidi kunivua mpaka kuniacha mtupu;
"Zebeda naomba tufanye ni siri yetu wawili"
"Marwa bado nanyonyesha mtoto ni mdogo""Zubeda inamaana hutambui kiasi gani navyo kupenda"
"Naelewa lakini naogopa, tunaweza kugundulika ikawa aibu kwangu"
"Sasa tupo wenyewe chumbani kwangu wawili tu, akuna alie kuona unaingia hayo maneno yatafikaje kwa huyo Babu G, angalia mwili ulivyo chemka Zubeda naomba unisaidie"Kiukweli nilichukizwa na kile kitendo wakati navaa nguo yangu ya ndani akanishika mkono, "mbona unaondoka kwa hasira"
"Marwa ulicho fanya sijakipenda kabisa"
"Zubeda nimefanya hivi sababu nakupenda mwili na moyo wangu unahisia na wewe"
"Niache nivae Marwa, ngoja niende nyumbani naamini Babu G hawezi kunielewa, lazima anirudishe nyumbani kwa baba"
Nilitoka kwa hasira bila kujua kama mtoto wangu nilie teseka nae kipindi kirefu cha maisha yangu ya chuo maisha ya ugonjwa wa akili ameisha fariki.
Nilipoingia sebreni nikakuta kajeneza ka mtoto mdogo kapo juu ya Meza.
"Shikamoo Babu G mme wangu"
"Marahaba, ulikuwa wapi mda wote huo tunakusubiria kuzika"
"Kumzika nani, Aisha mbona unalia"
"Mtoto amefariki Zubeda"
"Mtoto wa nani, Aisha mtoto wangu yuko wapi"
"Naomba unisamehe, Zubeda nilikuwa na mlusha juu akaniponyoka bahati mbaya akafariki"
Niliposikia yale maneno hapo hapo nikajihisi sina nguvu, nywere zikasisimka nikadondoka chini na kupoteza fahamu; kiukweli ilo lilikuwa pigo kubwa kwenye maisha yangu wazo likaniijia, "au nilivyo lala na Marwa ndio maana nikapata mkosi huu"
Nilichukia nikamfata Aisha,
"Aisha nimekukosea nini, kama ulikuwa hutaki nikae hapa siungesema kuliko kujifanya mwema unajikuta unahuruma kumbe shida yako ni kumuua mtoto wangu yaani Aisha mnakula njama na Babu G"
"Ehhh ehh ehh zubeda yani unasema nakula njama na Aisha kumuua mtoto wako, Aisha nilikwambiaje kuhusu huyu mwanamke siunaona sasa haya ukweli unaujua wewe Aisha mimi na wewe njama ya kuua huyu mtoto tuliipanga lini"
Wakati huo Aisha alikuwa analia nikitazama tumbo lake na yeye anaujauzito kiukweli alishindwa cha kuongea, akaamua kumuita mama yake mzazi kabla hata hatujazika, na babu G alikuwa hana ushirikiano na majirani zake hivyo hakukua na watu kwenye msiba.
Mama Aisha alipofika akaanza kuzungumza na mimi, "binti yangu naomba hii kitu usimwambie mtu iwe siri yetu ndani, nitakupa million 1, mtu yoyote asijue"
"Sawa mama nimeelewa"
Kumbe candy alipata taarifa ya msiba akawa amefika, nilipo muelezea kilicho tokea akakasalika sana
"Zubeda acha ujinga hii kesi inabidi ukachukue RB polisi wakupe fidia ya kutosha au huyo Aisha afungwe, huyo mtoto wamemuua makusudi twende Polisi."Babu G, Aisha naomba msimzike mwanangu kama Mbwa, nawaomba sana sana sana"
Niliwambia kwa msisitizo mkubwa mno, "tusimzike kwanini sasa, ebu njoo pembeni tuongee" alisema mama Aisha; "Zubeda situimeisha zungumza Binti yangu, au unahisi iyo millioni moja nitakuzurumu haya hii hapa kwenye pochi yangu pokea mpendwa wangu"
"Mama kiukweli mimi sitaki na sipendi mnacho fanya, yaani kiumbe changu mnataka kukuzika kama vile paka mnamkosea Mungu isitoshe sijaelewa sababu ya binti yako kumuua mwanangu"
"Weeh Zubeda Zubeda nakuomba usije ukarudia kutamka maneno hayo, mtoto wangu hajauwa"
"Mama Aisha kama ulivyo na uchungu kwa mtoto wako Aisha ndivyo hivyohivyo nilivyo kwa mtoto wangu naenda polisi"
Tulitoka mimi na Candy kuelekea kituo cha Polisi, kumbe Babu G, Aisha na mama ake wakatoka haraka na kwenda makaburini kumzika mtoto shutashuta ili wapoteze ushahidi.
Polisi walituchelewesha siku hiyo maana ilikuwa jumatatu hivyo kesi zilikuwa nyingi kituoni tukaambiwa turudi juma kesho yake.
Candy akaenda kwake na tukapanga kukutana kesho ili aendelee kunisaidia kupigania haki ya mtoto wangu.
Nilipofika kwa babu G, nikashangaa kukuta begi langu nje ya mlango, ile nagonga akatoka nje, "siunajifanya unajua sana kesi eti unashindana na mke wa mbunge utaona cha moto, unahisi wote waliopo jera wanahatia, subiri sasa kama kesi ya mauwaji haikurudii wewe, kwanza tokaaa hatutaki kukuona tena hapa malaya Cc madoadoa, idioti"
"Mbona mnanipa nguo tu naomba na mtoto wangu akiwa mzima"
"Nenda makaburini"
Nilitoka pale nikiwa na jaziba nikaanza kupata akili za uoga kwamba uenda kesi ikanigeukia nikafungwa mimi.
Giza lilipoanza kuingia nikaona ni bora niede tu kwa Marwa mwanaume aliekuwa ananipenda kutoka moyoni na aliependa hata kuishi na mtoto ambae sio damu yake;
Nilipofika nikagonga hodi lakini hakufungua nikaendelea kugonga kwa nguvu baada ya dakika kama tisa ndio mlango ukafunguliwa tena kibaya alie nikaribisha ndani ni mwanamke na chakushangaza alikuwa amejifunika kanga moja tu ikimaanisha alikuwa anakula uroda chumbani na Marwa maana hata sura ilikuwa inaonesha.
"Karibu dada, wewe ni nani"
"Naitwa Zubeda, mpenzi wake na Marwa"
"Etii nini?"
Ndipo akamuita Marwa aje pale mlangoni"Marwa kumbe wewe ni mnafiki jamani, yaani ahadi zote za kutaka kuishi na mimi eti unanipenda kumbe wewe ni malaya Marwa"
"Ehhh wewe dada ishia hapohapo, usimuite mme wangu malaya, nitakupiga"
"Umepige nani, na wewe Marwa nashukuru kwa hii zalau mimi naondoka"
"Usiondoke Zubeda, ingia ndani tuzungumze"
"Weee humu ndani haingii, wewe dada ondoka"
Nilipandwa na jaziba mno, "yaani Marwa, ulitaka kuujua mwili wangu tu, umeisha nichezea na kuniwekea madawa ya usingizi kumbe ndio tabia zako, nimekuta mtoto wangu amefariki nikahisi wewe ndio utakuwa pozo langu, nikazania nitafarijika nikikutana na wewe, haya sawa maisha mema"
Nilikuwa naaga huku nikiwaza nitalala wapi maana ilikuwa usiku; ikabidi nijishushe tu nikaomba waniruhusu nilale sebreni lakini sikupata usingizi na niliumia zaidi maana Marwa alikuwa anafanya mapenzi na yule dada nikiwa nasikia mpaka sauti wakiwa wanashiriki tendo.
Ilipofika saa tisa yule binti akiwa amenogewa na usingizi, Marwa akamtoroka chumbani akaja sebreni.
"Zubeda naomba unisamehe sana ni shetani amenipitia, mimi ilo lidada silipendi ni bahati mbaya tu na nimeona nikimtimua usiku sio vizuri"
Nikiwa natoka machozi na kwasababu sikuwa na hela wala sehemu ya kuishi nikajikuta namsamehe, ile nimezubaa akaanza kunishikashika mwili huku akijisogeza, "marwa acha bana sijisikii kufanya na nina msiba"
"Naomba kidogo tu mimi nakupenda wewe, usipo nisaidia wewe nitashawishika nje"
Nikajikuta kwa bahati mbaya najiachia mwili"
Tukiwa tunaendelea kulifanya tendo pale chini kumbe yule dada chumbani alitusikia maana kiukweli hata mimi nilikuwa siwezi kujizuia kupiga kelele nikiwa nafanya tendo, wakati tunaendelea ndipo yule dada akaja mpaka pale sebreni tukiwa bado hatujamuona kumbe amesimama pembeni kimya anatuangalia kila tunachofanya."Moyo wangu unakupenda Zubeda kuliko huyo malaya huko ndani"
Alisema Marwa, "nakupenda pia" nilimjibu maana wote tulikuwa katika hali ya kupata utamu kwenye lile giza nene; kumbe mda huo yule dada amesimama anatuangalia tu, tukiwa tunalifanya tendo, sasa kile kitendo cha Marwa kusema ananipenda mimi kuliko huyo dada na kibaya zaidi akasema ni malaya, yule dada akachukizwa akaingia jikoni maana Marwa alikuwa na mtindo wa kuchemsha maji na kuyaweka kwenye chupa isiyopoza ili akiamka asubuhi na mapema anaoga maji ya moto ili aweze kwenda Kazini.
Kipindi naendelea kuburudika taa zikiwa OFF, yaani zimezimwa kusudi tusionekane na yule dada, kiukweli Marwa alikuwa anajua mahaba na yeye ndie alie nifundisha staili za mapenzi, kipindi amenipandisha juu yake yeye akiwa chini tunashiriki penzi yule dada akaja na yale maji ya moto kwenye chupa akijua Marwa ndio yupo juu yangu akanimwagia maji ya moto juu ya makalio na mgongo wangu! Hapohapo hamu yote ikaisha maana maji yalikuwa yanachoma mpaka yakanibabua wakati Marwa anaendelea kupata raha akashitukia na yeye maji yanamfikia kwenye uume wake ya moto hapohapo ikasinyaa tukapiga kelele akanidondosha kule na kuwai kujimwagia maji ya baridi.
"Washenzi yaani unaniacha chumbani unakuja kufanya mapenzi na huyu, ni dhambi gani uliyo nayo wewe kaka siungesubiri hata niondoke"
Alisema yule dada huku nikiwa nasikia uchungu maana ngozi ilibabuka hata kukaa ikawa shida "Bhoke unamichoma uume na maji ya moto," hapo kweli uume wake ulikuwa umevimba na ukawa kama mwekundu maana aliwashaa taa kujitazama, "ehh nimekuchoma siumeyataka mwenyewe"
Hapo mimi nalia nawaza mtoto amefariki, nimeungua makalio, mgongo mpaka pembe za ukeni sikuwa na hamu kabisa.
Kitu kilicho mkela Marwa kuna maji yaliyo kuwa yamebaki kidogo kwenye iyo chupa akamwagia tena Marwa tumboni "wewe ndio umemlazimisha huyu dada maana hajakufata chumbani"
"Bhoke unanimwagia tena" ndipo kwa hasira za kibinadamu marwa akampiga mtama kutokana na yale maji chini ya vigai kukawa na utelezi bhoke akaanguka chini bila hata kujigeuza tukasikia kimya dada wawatu akafariki hapohapo
Marwa akachukua begi lake akatoroka usiku huohuo nikiwa hoi ndani na mwili wa marehemu bhoke."Zubeda acha upuuzi umekuwa wa kunyanyasika miaka yote; jitahidi na hayo maumivu ya kidonda jikaze kwa nguvu vuruta huo mwili wa Bhoke nje usipate kesi, na uishi humu ndani maana huna pakuishi usiache hivi vitu maana Marwa kaisha ogopa kesi ya mauwaji". "hapana Zubeda kuwa na utu, huyu bhoke ni binadamu mwenzako asitahili kutupwa toroka hapa ujauwa wewe hii dhambi haikuhusu".
Zilikuwa ni fikra mbili zilizokuwa zinakuja akilini mwangu.
niliamua kuvumilia maumivu yote niliyokuwa nayo nikaanza kumvuta bhoke kumtoa nje usiku ule bila kuonekana na mtu,
nilibahatika nikamtoa mpaka mbele kabisa nikamuweka pembeni mwa barabara usiku ule huku nikiwaza, "kama nisingeingia katika vishawishi na vikundi vibaya chuo basi nisingekuwa nateseka hivi maana elimu yangu iliharibika sababu ya kufata Mkumbo".
Nilirudi ndani nikaanza kufanya usafi usiku huohuo maana sikuwa na usingizi kwa kuogopa ule mwili unaweza kufufuka ukanikimbiza.
Wakati nafanya usafi na kufutafuta uvunguni nikaona karatasi kama hela nilipovuta nikakuta kweli ni pesa alizokuwanazo ndani na nikahisi uhenda aliziweka uvunguni ili Bhoke asiibe, nilipozihesabu nikakuta ni milioni 4 na elfu 70, akili akaniijia kwamba nifanye matibabu kukikucha kisha nifungue biashara na kweli nilikuwa naumia lakini nahisi ni Mungu aliamua kunionesha hizo pesa.
Kulipokucha nikachukua laki mbili ili nikatibiwe wakati natoka nje nikakuta watu wamekusanyika nje kwenye mwili wa Bhoke sikutaka kusimama maana nilikuwa nimeisha choka na mikosi ya kila siku.
Kwasababu nilikuwa na hela sikutaka kuteseka nikaenda kwenye hospital nzuri ili niwai kupona niweze kufanya biashara zangu maana nilijua Marwa hawezi kurudi tena na kwa bahati nzuri ameniachia vitu vyote ndani
Wakati nipo kwa nje nasubiria kuonana na dokta nikaona Candy analetwa haraka haraka akiwa hoi yupo na mme wake kumbe siku ya kujifungua ilikuwa imefika,
mume wake anafuraha kuwa atapata mtoto lakini candy alikuwa anaujauzito wa mzungu alieondoka na kumuacha candy akiwa na mimba.
Kibaya zaidi candy alipo olewa hakutaka kusema kwamba anamimba ya mzungu, na mume wake alikuwa kwa nje anasubiria kwa hamu kumuona mtoto wake wa kwanza kipenzi anazaliwa
Call me Rodgerz dangote